Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,408
- 4,392
Lissu asimamishwe kupiga kampeni zake , hii si sawa
Waache tu wapelekwe mchakamchakam !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu asimamishwe kupiga kampeni zake , hii si sawa
Mnampa presha JPKaratu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu
Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481
View attachment 1584489
View attachment 1584502
Hilo ni kusanyiko la wana TANU mwaka 1948,Karatu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu
Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481
View attachment 1584489
View attachment 1584502
Na nyie mliojenga zahanati, vituo vya afya na hospitali halafu hamnunui dawa ndo wenye hesabu?Hawezi kusuffer heart attack ,kama ww ambaye huna ufahamu wa mathematics. Katika watu waliohudhuria ni1.Wangapi watapiga kura?2.Wangapi wamejiandikisha?3.Wangapi ,watapigia cdm?Kuwa na mahesabu mkononi,kwa kuwa hizi no issue za hesabu tu.Kama ulisoma history ndio matatizo ya kudai wot e no wapiga kura was cdm.
Jaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom
We zoom kisha screenshot ulete hapaJaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom
Hao jamaa wa pande hizo ni noma sana kwa ubishi, hata kabla mfumo wa vyama vingi walikua wanachagua kivuli badala ya CCM kwny uchaguzi.Nawaamini hao watu wa karatu...hawajawahi kusaliti ukombozi, mwamko ulipo hapo siyo wa kawaida....
Mambo kama haya ndiyo yanawasumbua Tumeccm
Ameyahakikishia MATAGA kuwa nayo yatapata haki zao. Hii ni movement ya haki kwa kila anayeita Tz nchi yake. Tunafahamu MATAGA yanavyolazimishwa kusujudia mungu-mtu na yanafanya kwa shingo upande alimradi watoto waweze kwenda shule. Sasa wakati wa ukombozi kwa kila mTz umewadia, jiunge na movement na utaishi kwa uhuru na haki.Na hapo hakuna cha wasanii wala fiesta zao.
Twende Lissu muda ni mchache tumechelewa sana .
Tunahitaji Haki ,Uhuru na Maendeleo ya Watu.
Kama hawana maana mbona mnawabeba kwa malori? Whatever the poor arguments you are putting forward, these numbers can predict something coming tomorrow if elections are free and fair! Mnawavisha wanafunzi sare and the like! Ndiyo maana mnapotea njia. Unawaua watu, unawafukuza vyeti, unawateka watu, unawanyima uhuru wooooote, halafu kesho unategemea wakupende! You must be nuts!Hawezi kusuffer heart attack ,kama ww ambaye huna ufahamu wa mathematics. Katika watu waliohudhuria ni1.Wangapi watapiga kura?2.Wangapi wamejiandikisha?3.Wangapi ,watapigia cdm?Kuwa na mahesabu mkononi,kwa kuwa hizi no issue za hesabu tu.Kama ulisoma history ndio matatizo ya kudai wot e no wapiga kura was cdm.
Karatu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu
Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481
View attachment 1584489
View attachment 1584502
Hamna haja ya kuzoom mimi mwenyewe nilikua hapo✌️✌️Jaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom
Bia Yetu!!!Lema anataka kuuza jimbo
We dada umekuwaje tena au bado unasumbuliwa na tumboHawezi kusuffer heart attack ,kama ww ambaye huna ufahamu wa mathematics. Katika watu waliohudhuria ni1.Wangapi watapiga kura?2.Wangapi wamejiandikisha?3.Wangapi ,watapigia cdm?Kuwa na mahesabu mkononi,kwa kuwa hizi no issue za hesabu tu.Kama ulisoma history ndio matatizo ya kudai wot e no wapiga kura was cdm.
Ndiyo maana sishangai kuyaona maccm yakiosha
vyombo kujikomba, kuchagua michele na akina mama pia kusafisha miguu ya wanawake. Yanajua HAYAPENDWI!!!