Uchaguzi 2020 Karatu, Manyara: Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu (Sept 29, 2020)

Uchaguzi 2020 Karatu, Manyara: Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu (Sept 29, 2020)

Watawala, kaeni mkijua wananchi mmechoka. Mnayoyafanya ni kuwatia wananchi hasira na kumpandisha Lissu. Polisi, Tiss, Tume ya Uchaguzi, na Msajili. Rudini kwa wananchi kabla ya muda kuisha. Mtajuta sana kwa madhambi yenu maana mwaka huu hakuna kuiba kura

Siku ya kufa kwa nyani kila mtu unateleza. CCM yangu naichinja rasmi kutokana na manyanyaso niliyoyapata chini ya CCM, Polisi na Magufuli...

Hiyo yomi ni ya 1925.....lol
Dokta feki wa NEC akiona hii anachanganyikiwa
 
Kuna watu wanamharibia sana mgombea wa CCM.

Upuuzi wowote unaofanywa na Tume, Polisi, TISS, TRA - chuki ya wananchi ni kwa Magufuli. Watakavyozidi kufanya lolote linaloashiria kumwonea Tundu Lisu au kumpendelea au kumwogopa Magufuli, linazaidi kumharibia Magufuli.

Na hii ya Tume kuwa kidedea kumwita Tundu Lisu bila ya kuwepo mlalamikaji, itazidi kumshusha Magufuli na kumwinua Lisu.

Bahati mbaya wengi wametiwa upofu na uziwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo ghorofa juu litaanguka jamani, kuwe na tahadhali!
Kwa mpango huu lazima Mahela afanye figisu kama alivyoanza. The thing to note ni kuitaarifu Jumuiya ya kimataifa kinachoendela waweke ushahidi
Kama ni la NHC wapangaji wote watafukuzwa wstabakkishwa wale wailkobakisha kutupu tu.

Kama ni private kesho watachunguzwa na TRAkama wamelipia witholding tax na wapangaji stamp duty wamelipia?

Vibali vya ujenzi vitachunguzwa kama kabadilisha hata rangi kutoka kwenye ramani au kazidisha 1cm.
 
Uzuri mikutano ya CCM yote inarushwa live kila mtu anaiona. Kwahiyo ukitaka kuleta propaganda zako hapa unaonekana tu hayawani. CCM nyomi kwao siyo issue kwasbb imezoeleka kila mkutano watu wanajaa, wao wanafocus kwenye kura.
kwanza jua TBC haionyeshi mikutano ya chadema kwa sababu inajaza watu bila wasanii,watoto na wanafunzi
 
kwanza jua TBC haionyeshi mikutano ya chadema kwa sababu inajaza watu bila wasanii,watoto na wanafunzi
Kwanza mnayo hiyo hela ya kuwalipa TBC wawaonyeshe live? Jana Iringa waliojaa pale ni wanafunzi na watoto?
 
Kwanza mnayo hiyo hela ya kuwalipa TBC wawaonyeshe live? Jana Iringa waliojaa pale ni wanafunzi na watoto?
ccm ilalipia tbc?nani kasema tbc inalipiwa kurusha matangazo ya kampeni za uchaguzi ?aisee mbona akili zako zipo makalioni
 
ingetungwa kanuni ya mtu ambaye sio rahisi asikusanye watu zaidi ya 50. haaaa haaaa kanuni za kifala
 
ccm ilalipia tbc?nani kasema tbc inalipiwa kurusha matangazo ya kampeni za uchaguzi ?aisee mbona akili zako zipo makalioni
Weka uthibitisho kama hawalipi, halafu nyinyi watu wa Chadema hivi hamuwezi kujadili bila matusi? Yaani tabia zenu zinafanana mpaka mgombea wenu. Wote midomo yenu ni michafu.
 
Weka uthibitisho kama hawalipi, halafu nyinyi watu wa Chadema hivi hamuwezi kujadili bila matusi? Yaani tabia zenu zinafanana mpaka mgombea wenu. Wote midomo yenu ni michafu.
tbc inaporusha kampeni za ADC,Tadea ,au demokrasia makini nani anawalipa ?
 
29 September 2020
Makuyuni, Arusha
Tanzania

TUNDU LISSU AWAPA POLISI UJUMBE HUU, ALIPOSIMAMA MAKUYUNI ARUSHA KUSALIMIA WANANCHI


Hayo yalijiri wakati msafara wake uliposimama kujaza mafuta na wananchi kuomba awasalimie japo kidogo maana wana hamu nawe sana.
 
ccm ilalipia tbc?nani kasema tbc inalipiwa kurusha matangazo ya kampeni za uchaguzi ?aisee mbona akili zako zipo makalioni
nmemshangaa sana huyu jamaa, kwa mawazo yake anadhania TBC ni mali ya ccm.
TBC ni television ya taifa
 
Back
Top Bottom