Uchaguzi 2020 Karatu, Manyara: Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu (Sept 29, 2020)

Dokta feki wa NEC akiona hii anachanganyikiwa
 
Kuna watu wanamharibia sana mgombea wa CCM.

Upuuzi wowote unaofanywa na Tume, Polisi, TISS, TRA - chuki ya wananchi ni kwa Magufuli. Watakavyozidi kufanya lolote linaloashiria kumwonea Tundu Lisu au kumpendelea au kumwogopa Magufuli, linazaidi kumharibia Magufuli.

Na hii ya Tume kuwa kidedea kumwita Tundu Lisu bila ya kuwepo mlalamikaji, itazidi kumshusha Magufuli na kumwinua Lisu.

Bahati mbaya wengi wametiwa upofu na uziwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo ghorofa juu litaanguka jamani, kuwe na tahadhali!
Kwa mpango huu lazima Mahela afanye figisu kama alivyoanza. The thing to note ni kuitaarifu Jumuiya ya kimataifa kinachoendela waweke ushahidi
Kama ni la NHC wapangaji wote watafukuzwa wstabakkishwa wale wailkobakisha kutupu tu.

Kama ni private kesho watachunguzwa na TRAkama wamelipia witholding tax na wapangaji stamp duty wamelipia?

Vibali vya ujenzi vitachunguzwa kama kabadilisha hata rangi kutoka kwenye ramani au kazidisha 1cm.
 
Kumzuia huyu msaliti wangemuua maana habari zake sizpend huyu nyambafu naatashndwa tu

Pambaf na muuaji mkubwa wewe.
Hivi unajua mbele za Mungu wewe tayari ni muuaji kwa kuwaza tu kuwa wangemuua Lissu? Be careful with your silly mouth/idea!
God gonna punish you instantly!
 
Uzuri mikutano ya CCM yote inarushwa live kila mtu anaiona. Kwahiyo ukitaka kuleta propaganda zako hapa unaonekana tu hayawani. CCM nyomi kwao siyo issue kwasbb imezoeleka kila mkutano watu wanajaa, wao wanafocus kwenye kura.
kwanza jua TBC haionyeshi mikutano ya chadema kwa sababu inajaza watu bila wasanii,watoto na wanafunzi
 
kwanza jua TBC haionyeshi mikutano ya chadema kwa sababu inajaza watu bila wasanii,watoto na wanafunzi
Kwanza mnayo hiyo hela ya kuwalipa TBC wawaonyeshe live? Jana Iringa waliojaa pale ni wanafunzi na watoto?
 
Kwanza mnayo hiyo hela ya kuwalipa TBC wawaonyeshe live? Jana Iringa waliojaa pale ni wanafunzi na watoto?
ccm ilalipia tbc?nani kasema tbc inalipiwa kurusha matangazo ya kampeni za uchaguzi ?aisee mbona akili zako zipo makalioni
 
ingetungwa kanuni ya mtu ambaye sio rahisi asikusanye watu zaidi ya 50. haaaa haaaa kanuni za kifala
 
ccm ilalipia tbc?nani kasema tbc inalipiwa kurusha matangazo ya kampeni za uchaguzi ?aisee mbona akili zako zipo makalioni
Weka uthibitisho kama hawalipi, halafu nyinyi watu wa Chadema hivi hamuwezi kujadili bila matusi? Yaani tabia zenu zinafanana mpaka mgombea wenu. Wote midomo yenu ni michafu.
 
Weka uthibitisho kama hawalipi, halafu nyinyi watu wa Chadema hivi hamuwezi kujadili bila matusi? Yaani tabia zenu zinafanana mpaka mgombea wenu. Wote midomo yenu ni michafu.
tbc inaporusha kampeni za ADC,Tadea ,au demokrasia makini nani anawalipa ?
 
29 September 2020
Makuyuni, Arusha
Tanzania

TUNDU LISSU AWAPA POLISI UJUMBE HUU, ALIPOSIMAMA MAKUYUNI ARUSHA KUSALIMIA WANANCHI

Hayo yalijiri wakati msafara wake uliposimama kujaza mafuta na wananchi kuomba awasalimie japo kidogo maana wana hamu nawe sana.
 
ccm ilalipia tbc?nani kasema tbc inalipiwa kurusha matangazo ya kampeni za uchaguzi ?aisee mbona akili zako zipo makalioni
nmemshangaa sana huyu jamaa, kwa mawazo yake anadhania TBC ni mali ya ccm.
TBC ni television ya taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…