Kardinali Pengo anawashukia wote wanaoleta hofu nchini muda huu kupitia Radio Maria na washirika wake. Anasema watu wanauawa bila hata sababu.

Kardinali Pengo anawashukia wote wanaoleta hofu nchini muda huu kupitia Radio Maria na washirika wake. Anasema watu wanauawa bila hata sababu.

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Kardinali Pengo katika ibada ya kipaimara inayofanyika jimboni Dar es Salaam muda huu anazungumzia hali ya hofu iliyotanda nchini na kuifananisha na hofu waliyokuwa nayo mitume baada ya Yesu kuuwawa.

Mwadhama anasema hali hii haijapata kujulikana Tanzania na sababu za mauaji haya hazijulikani wazi ni nini. Asema ni madhambi gani yaliyopelekea Tanzania yetu kupitia hali hii?

Kardinali anawataka watu kujiuliza je, wanashiriki katika kuleta hali ya hofu? Anasema suluhisho sio nguvu za silaha wala majeshi, bali ni msamaha na maendoleo ya dhambi.

Mwadhama anasema watanzania wanalia hawaipendi hali hii. Anawataka vijana wa kipaimara kuondoa hofu kwa jamii. Anamalizia kwa kuwataka Wakatoliki kuwa chanzo cha kuondoa hofu na kuleta amani nchini.
 
mwambiee anyamaze. wakati wa kipenzi chake Magufuli mbona hakusema haya . si watu walikuwa wanaokotwa kwenye safeti ufukweni mwa bahari.
Na katika vitu vinaendelea kuliangamiza hili taifa ni fikra za ukristo na uislamu kwamba kiongozi akiwa muislam wakristo wasikosoe na akiwa mkristo basi muislam asikosoe huu ujinga
 
Kardinali Pengo katika ibada ya kipaimara inayofanyika jimboni Dar es Salaam muda huu anazungumzia hali ya hofu iliyotanda nchini na kuifananisha na hofu waliyokuwa nayo mitume baada ya Yesu kuuwawa.

Mwadhama anasema hali hii haijapata kujulikana Tanzania na sababu za mauaji haya hazijulikani wazi ni nini. Asema ni madhambi gani yaliyopelekea Tanzania yetu kupitia hali hii?

Kardinali anawataka watu kujiuliza je, wanashiriki katika kuleta hali ya hofu? Anasema suluhisho sio nguvu za silaha wala majeshi, bali ni msamaha na maendoleo ya dhambi.

Mwadhama anasema watanzania wanalia hawaipendi hali hii. Anawataka vijana wa kipaimara kuondoa hofu kwa jamii. Anamalizia kwa kuwataka Wakatoliki kuwa chanzo cha kuondoa hofu na kuleta amani nchini.
aache zake hizo.
Anayakuza mambo bure.Baada ya polisi kututoa hofu wala hatuna hofu anazosema.
 
Kardinali Pengo katika ibada ya kipaimara inayofanyika jimboni Dar es Salaam muda huu anazungumzia hali ya hofu iliyotanda nchini na kuifananisha na hofu waliyokuwa nayo mitume baada ya Yesu kuuwawa.

Mwadhama anasema hali hii haijapata kujulikana Tanzania na sababu za mauaji haya hazijulikani wazi ni nini. Asema ni madhambi gani yaliyopelekea Tanzania yetu kupitia hali hii?

Kardinali anawataka watu kujiuliza je, wanashiriki katika kuleta hali ya hofu? Anasema suluhisho sio nguvu za silaha wala majeshi, bali ni msamaha na maendoleo ya dhambi.

Mwadhama anasema watanzania wanalia hawaipendi hali hii. Anawataka vijana wa kipaimara kuondoa hofu kwa jamii. Anamalizia kwa kuwataka Wakatoliki kuwa chanzo cha kuondoa hofu na kuleta amani nchini.
Huyu naye ni mnafiki tu alishirikiana sana na dhalim Magufuli
 
Asilete taharuki isiyo na sababu wakati watanzania wote wanafahamu ya kuwa RAIS wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kukomesha matendo yote ya utekaji,kupotea kwa watu na hata mauaji ya watu mbalimbali wakiwepo maarubino ,wazee na watu wengine. Lakini Baba askofu mstaafu na kardinali asichague awamu za kupaza Sauti yake. Kama ni kunyooka anyooke kama rula katika awamu zote. Nasema haya kwa sababu watu wanaona ni kama kulikuwa na kigugumizi na aliziba kabisa kinywa chake wakati fulani wa awamu fulani. Sasa anapoibuka wakati huu wa
Rais Samia inaleta hisia tofauti na kuibua maswali mengi kwamba kwanini wakati ule alikuwa kimya.
 
Kardinali Pengo katika ibada ya kipaimara inayofanyika jimboni Dar es Salaam muda huu anazungumzia hali ya hofu iliyotanda nchini na kuifananisha na hofu waliyokuwa nayo mitume baada ya Yesu kuuwawa.

Mwadhama anasema hali hii haijapata kujulikana Tanzania na sababu za mauaji haya hazijulikani wazi ni nini. Asema ni madhambi gani yaliyopelekea Tanzania yetu kupitia hali hii?

Kardinali anawataka watu kujiuliza je, wanashiriki katika kuleta hali ya hofu? Anasema suluhisho sio nguvu za silaha wala majeshi, bali ni msamaha na maendoleo ya dhambi.

Mwadhama anasema watanzania wanalia hawaipendi hali hii. Anawataka vijana wa kipaimara kuondoa hofu kwa jamii. Anamalizia kwa kuwataka Wakatoliki kuwa chanzo cha kuondoa hofu na kuleta amani nchini.
Walio karibu naye wamwambie ajitenge kabisa na DAUDI ALBERT BASHIT maana kwa sasa ni muumini wa Mwamposa na analisema vibaya KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUME.
 
Kardinali Pengo katika ibada ya kipaimara inayofanyika jimboni Dar es Salaam muda huu anazungumzia hali ya hofu iliyotanda nchini na kuifananisha na hofu waliyokuwa nayo mitume baada ya Yesu kuuwawa.

Mwadhama anasema hali hii haijapata kujulikana Tanzania na sababu za mauaji haya hazijulikani wazi ni nini. Asema ni madhambi gani yaliyopelekea Tanzania yetu kupitia hali hii?

Kardinali anawataka watu kujiuliza je, wanashiriki katika kuleta hali ya hofu? Anasema suluhisho sio nguvu za silaha wala majeshi, bali ni msamaha na maendoleo ya dhambi.

Mwadhama anasema watanzania wanalia hawaipendi hali hii. Anawataka vijana wa kipaimara kuondoa hofu kwa jamii. Anamalizia kwa kuwataka Wakatoliki kuwa chanzo cha kuondoa hofu na kuleta amani nchini.
Huyo mpuuzi atulie. Alishapelekwa nyumba ya wazee, ajifunze kupisha wenzake wafanye majukumu yao.
 
Mauaji yanayoendelea Tanganyika ni matokeo ya sera mbovu za muda mrefu vyombo vya usalama kujiingiza katika siasa.
Tatizo hapa ni Rais wa Nchi kuwa Mwenyekiti wa Chama kinachotawala maana lazima vyombo vya usalama vimlinde Rais ambaye pia ni Kiongozi wa Chama. KATIBA MPYA inahitajika kutenganisha kofia hizi mbili kwa Kiongozi wa juu wa Nchi.
 
Na katika vitu vinaendelea kuliangamiza hili taifa ni fikra za ukristo na uislamu kwamba kiongozi akiwa muislam wakristo wasikosoe na akiwa mkristo basi muislam asikosoe huu ujinga
hisia za Udini uibuka zaidi pale Muislam akiwa Magogoni.
wakati wa MAGUFULI watu waliuawa, ukiyapitia majina ya wahanga wa makucha MAGUFULI majority ni Wagalatia, TL mkatolic mwenzake alienda ponea ICU ya Kenya lakini sikusikia watu wakiingiza Dini.
tena tulisikia minong'ono toka kwa watu wa dini wakisema kuwa:- waislam tusiingilie,mtesi wao ni kutoka dini yao.
leo mambo yale yale yanajirudia,wahanga ni watu wa Dini na Makafiri,kila anayelia anaaambiwa anamsakama Mama kwasababu ya Dini yake!.
mbona wakati wa MAGUFULI hamkusema hivyo?.
kwasasa ukiwa Muislam ni kupata Kinga ya kutosemwa hata pale unapokosea,ukisema unaambiwa unachuki na uislam.
nb:_ HUYU MZEE ANYAMAZE,KAMA ALIVYONYAMAZA WAKATI WA MAGUFULI WAKATI WATU WAKIOKOTWA KWENYE VIROBA.
 
Back
Top Bottom