Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakija kwako kukuchukua utaenda TU kibwegebwege bila kujiridhisha au sio!?aache zake hizo.
Anayakuza mambo bure.Baada ya polisi kututoa hofu wala hatuna hofu anazosema.
Vp maguful yeye alikuwa anapenda democrasia?Yes Wamesoma tena sana. Utawala wenye Demokrasi aupambani na Raia Waandamanaji ambao wanadai haki zao za msingi kama Katika ya nchi yao invyotaka. Katiba inatoa ruhusa watu kuandamana kwa amani! Kanisa daima linapinga ukiukwaji wa Katiba na haki za binadamu. Lina laani pale watawala wa nchi wanapotaka kurudisha nchi kwenye Utawala wa Chama kimoja wakati tumeshatoka huko 20 yrs back.
Hatushabikii lakin kwa nn analeta double standardAisee kwa hiyo unashabikia Watu kuuwawa?.