Kardinali Pengo anawashukia wote wanaoleta hofu nchini muda huu kupitia Radio Maria na washirika wake. Anasema watu wanauawa bila hata sababu.

Kardinali Pengo anawashukia wote wanaoleta hofu nchini muda huu kupitia Radio Maria na washirika wake. Anasema watu wanauawa bila hata sababu.

Mkuu ukitrace nchi yetu utaelewa,wako focused sana Hawa na wanawazaga kutenda makubwa kwa faida ya Taifa.
∆Hamna kitu kigumu na kilikua hatarii kwa maisha Binafsi kama kudai uhuru✓
∆ Hakuna kitu kilikua kigumu sana kuliunganisha Taifa na kuua sumu ya mitazamo ya ukabila na Udini Baada ya Uhuru.
JPM angekua Hai mpaka Leo Taifa lingekua mbali kimiundombinuu sana na speed ya maendeleo eg.mdaa mfupii alimwaga vituo vya afya Kila Kara, stendi Mbezi kama umefika Toronto....BM nae alifanya makubwa sana.
Hivyo kunakitu wanacho wenzetu tusishupaze komwe zetuu mzee
ubora katika lipi? maana changamoto zetu watanzania nizilezile toka tunapata uhuru hadi leo
 
huyu simwelewagi

Pengo ametuachia pengo kubwa sana kipindi Cha ukardinali wake..maoni yake kila aliyoyatoa yalikuwa upande wa serikali
 
Wao ndio wanaosema wamesoma sana kuliko wengine
Yes Wamesoma tena sana. Utawala wenye Demokrasi aupambani na Raia Waandamanaji ambao wanadai haki zao za msingi kama Katika ya nchi yao invyotaka. Katiba inatoa ruhusa watu kuandamana kwa amani! Kanisa daima linapinga ukiukwaji wa Katiba na haki za binadamu. Lina laani pale watawala wa nchi wanapotaka kurudisha nchi kwenye Utawala wa Chama kimoja wakati tumeshatoka huko 20 yrs back.
 
Yes Wamesoma tena sana. Utawala wenye Demokrasi aupambani na Raia Waandamanaji ambao wanadai haki zao za msingi kama Katika ya nchi yao invyotaka. Katiba inatoa ruhusa watu kuandamana kwa amani! Kanisa daima linapinga ukiukwaji wa Katiba na haki za binadamu. Lina laani pale watawala wa nchi wanapotaka kurudisha nchi kwenye Utawala wa Chama kimoja wakati tumeshatoka huko 20 yrs back.
Sema watawala wanapkuwa dini tafauti na wao
 
Asilete taharuki isiyo na sababu wakati watanzania wote wanafahamu ya kuwa RAIS wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kukomesha matendo yote ya utekaji,kupotea kwa watu na hata mauaji ya watu mbalimbali wakiwepo maarubino ,wazee na watu wengine. Lakini Baba askofu mstaafu na kardinali asichague awamu za kupaza Sauti yake. Kama ni kunyooka anyooke kama rula katika awamu zote. Nasema haya kwa sababu watu wanaona ni kama kulikuwa na kigugumizi na aliziba kabisa kinywa chake wakati fulani wa awamu fulani. Sasa anapoibuka wakati huu wa
Rais Samia inaleta hisia tofauti na kuibua maswali mengi kwamba kwanini wakati ule alikuwa kimya.
 
Bado wewe kumtukuza JPM subiri kidogo bado muda mfupi sana china ya mjalaana samia mtakili kwa vinywa vyenu kuwa jpm alikuwa mzalendo na kiongozi wa kweli 😁😁😁😁😁
Samka hajafikoa hata robo ya mauaji aliyofanya jpm tena waziwazi kabisa na akataka hata kummaliza lisu
 
Bado wewe kumtukuza JPM subiri kidogo bado muda mfupi sana china ya mjalaana samia mtakili kwa vinywa vyenu kuwa jpm alikuwa mzalendo na kiongozi wa kweli 😁😁😁😁😁
Yule muuwaji
Nyie wajumbe wake saiv yupo kuzimu mfuate huko maana unampenda sana
 
Sema watawala wanapkuwa dini tafauti na wao
Ni kujizima data tu...ingia kwenye youtube uone walivyopinga mambo ya Magufuli kuanzia kuminya haki za binadamu mpaka mambo yake ya kutokuvaa barakoa karibu na siku zake za mwisho. Nimegundua mnapenda kusema maneno haya ili watu kwenye jamii yenu wasiokuwa na taarifa sahihi waamini matendo maovu wakati huu wa Samia yanapingwa kwa sababu ya uislam wake.
 
Asilete taharuki isiyo na sababu wakati watanzania wote wanafahamu ya kuwa RAIS wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kukomesha matendo yote ya utekaji,kupotea kwa watu na hata mauaji ya watu mbalimbali wakiwepo maarubino ,wazee na watu wengine. Lakini Baba askofu mstaafu na kardinali asichague awamu za kupaza Sauti yake. Kama ni kunyooka anyooke kama rula katika awamu zote. Nasema haya kwa sababu watu wanaona ni kama kulikuwa na kigugumizi na aliziba kabisa kinywa chake wakati fulani wa awamu fulani. Sasa anapoibuka wakati huu wa
Rais Samia inaleta hisia tofauti na kuibua maswali mengi kwamba kwanini wakati ule alikuwa kimya.
Hivi dishi lako halijayumba wewe? Why unaabudu binadamu kiasi hiki? Unapata hata muda wa kumuabudu Mungu wako aliyekuumba?
Taharuki iko kubwa sana, wewe unakenua domo lako huko. Kuna wazazi wa kina Soka na wenzake, hawajui watoto wao wanapumua au walishakufa kwa tindikali na vipigo.

Hebu kutaka ujumbe wa nyumba 10 na hizo takataka zenu za uongozi sijui kwenye chama. Zikutoe utu na akili. Mtoto wako au mzazi wako angetekwa leo hii ungekuwa unaongea haya mapambio ya ujinga hapa. Vaeni viatu vya ndugu, jamaa na marafiki ya waliopotea katika mazingira ya kutatanisha, waliotekwa na kuuwawa. Mnakera sana sijui ni mijitu ya wapi nyinyi msio na roho za utu na huruma mananii yenu mshxxxxiiiwww
 
Asilete taharuki isiyo na sababu wakati watanzania wote wanafahamu ya kuwa RAIS wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina na kukomesha matendo yote ya utekaji,kupotea kwa watu na hata mauaji ya watu mbalimbali wakiwepo maarubino ,wazee na watu wengine. Lakini Baba askofu mstaafu na kardinali asichague awamu za kupaza Sauti yake. Kama ni kunyooka anyooke kama rula katika awamu zote. Nasema haya kwa sababu watu wanaona ni kama kulikuwa na kigugumizi na aliziba kabisa kinywa chake wakati fulani wa awamu fulani. Sasa anapoibuka wakati huu wa
Rais Samia inaleta hisia tofauti na kuibua maswali mengi kwamba kwanini wakati ule alikuwa kimya.
Wewe Lucas ni taahira kiukweli ungekuwa unatuliza kinyolilo ingependeza sio lazima uwe unaandika kila siku ndugu yangu tumekuchoka
 
163192.jpg
 
Back
Top Bottom