Kardinali Pengo anawashukia wote wanaoleta hofu nchini muda huu kupitia Radio Maria na washirika wake. Anasema watu wanauawa bila hata sababu.

Mwambie kesho aende kuandamana
 
aache zake hizo.
Anayakuza mambo bure.Baada ya polisi kututoa hofu wala hatuna hofu anazosema.
Wakija kwako kukuchukua utaenda TU kibwegebwege bila kujiridhisha au sio!?
 
Vp maguful yeye alikuwa anapenda democrasia?
Kwa nn alikiuka katiba inayoruhusu mikutano ya siasa
Acheni double standard
Watanzania sio wajinga walikua wanaona ujinga wa jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…