Yes Wamesoma tena sana. Utawala wenye Demokrasi aupambani na Raia Waandamanaji ambao wanadai haki zao za msingi kama Katika ya nchi yao invyotaka. Katiba inatoa ruhusa watu kuandamana kwa amani! Kanisa daima linapinga ukiukwaji wa Katiba na haki za binadamu. Lina laani pale watawala wa nchi wanapotaka kurudisha nchi kwenye Utawala wa Chama kimoja wakati tumeshatoka huko 20 yrs back.