Kardinali Pengo atua ofisini kwa Paul Makonda kumfanyia maombi maalumu ya baraka na kumpongeza kwa uteuzi

Mkuu wewe ni mtu mwenye upepo mkubwa Sana hapa JF lakini nahisi kuna Vitu huvijui au labda unavijuwa hapa unasherehesha tu.

Kanisa Katoliki lina Siri kubwà, huyo Pengo ni takataka tu hata huko kanisani.

Kitendo cha kuwekewa Askofu muandamizi kwenye Jimbo kuu maana yake Vatican ilicover tu image yake asistaafu Kwa aibu.

Pengo kitendo cha kukana waraka wa maaskofu tayari huyo ni Kafir.

Sijawahi kukubali Gwajima lakini siku Gwajima alipomtolea uvivu huyu Illuminati Pengo nilimuunga mkono Gwajima.

Watu kama Pengo ndio wamesababisha wengine sasa hivi hatuendi kanisani tunasali kwenye TV na kumuomba Mungu nyumbani.
 
Mkuu Nguruvi3 , serikali ndio haina dini ila watu wake wana dini zao, hakuna ubaya wowote, viongozi wowote wa dini, kumuombea, ofisini kwenye ofisi ya umma, and soon utamshuhudia Mufti, Malasusa, na Yuda Thadei Ruwa Ichi!.
P
Sasa mbona Ramadhan Dau aliitwa mdini?

Au tatizo ni Uislamu?

Tukianza kuleta duwa za masheikh kwenye ofisi za umma mtulie hivyohivyo na duwa tamu tutaleta na madufu ya watoto wa madrasa.

Cc: Mohamed Said
 
Hapo ni ushetani mtupu, hakuna kiongozi anatoka kwa Mungu, Mungu ni mtakatifu,
Idi amin, Adolf Hitler, Maghu,musolin, wote walikuwa viongoziviongozi, je wote walitoka kwa Mungu!?
 
Siku moja utakuja kujutia mawazo yako hayo ya kishetani.utawatafuta watumishi wa Mungu na hutawaona. Usilete utani kwenye mambo ya imani na kiroho.
Unadandia vitu husivyovijua, Viongozi wa dini wapo kwa ajili ya kila mtu hasa wadhambi wanawaitaji zaidi.

Wewe umeona issue kubwa Pengo kuonekana akimuombea Makonda.

Sijuhi cha ajabu ni ukadnari wa Pengo au Uaskofu wake?

Kama ni ukadnari waulize watu wa katoliki watakufafanulia kwamba hata brother (buruda) anaweza kuwa kadnari.

Ni sawa tu na Msukuma au Kibajaji kuwa Wabunge
 
Huyo Pengo ni bundi hadi useme atua ofisini kwa Makonda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…