Kardinali Pengo atua ofisini kwa Paul Makonda kumfanyia maombi maalumu ya baraka na kumpongeza kwa uteuzi

Kuna mtu aliwahi kumwita Jiwe Mh Mungu, tena zamani alikuwa anaheshimika kabisa. Sasa mtu kama wewe kuandika ujinga kama huu sidhani kama kuna jipya. Ila kuwa makini sana usije ukaleft group
 
Mimi ni Mkatoliki na nilikwisha sema muda mrefu. Hakuna la maana lolote ambalo huyu MUUAJI anachota kutoka kwa huyu Kadinali MNAFIKI Pengo.

Ho wawili Bashite na Pengo wakati wa Magufuli walikuwa ni Pete na chanda
 
Mwamba mwenye mzigo kama barmaid wa kimboka!
 
Mimi ni Mkatoliki na nilikwisha sema muda mrefu. Hakuna la maana lolote ambalo huyu MUUAJI anachoto kutoka kwa huyu Kadinali MNAFIKI Pengo.

Ho wawili Bashite na Pengo wakati wa Magufuli walikuwa ni Pete na chanda
Acha kuwadhalilisha viongozi wa Dini kwa lugha za kuudhi.
 
Kuna mtu aliwahi kumwita Jiwe Mh Mungu, tena zamani alikuwa anaheshimika kabisa. Sasa mtu kama wewe kuandika ujinga kama huu sidhani kama kuna jipya. Ila kuwa makini sana usije ukaleft group
Endelea kuwa na mawazo ya kijinga na kishetani hivyo hivyo.
 
we ni wa kufuatiliwa kila hatua nyau, mpaka tujue useme unayemtumikia.

unajifanya upo upande wa mama, kumbe unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

chama chako tunakijua, rais unayemtaka 2025 tunamjua, na mpaka unavyotaka iwe kama mama samia akishinda tunajua.

we ni mtu mnafiki na hatari kwa ustawi wa taifa letu.
 
Mbona hueleweki na unakuwa ni kama mgonjwa aliyechanganyikiwa vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…