Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
katoliki ndio mamlaka tayari kijana kapata baraka zote kutoka kwa Kadinali Pengo.Labda kijiji cha Tanzania sio Nchi ya Tanzania.
Hakuna Mungu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katoliki ndio mamlaka tayari kijana kapata baraka zote kutoka kwa Kadinali Pengo.Labda kijiji cha Tanzania sio Nchi ya Tanzania.
Hakuna Mungu hapo
Pengo huyu huyu? Muulize Gwajima anayemjuakatoliki ndio mamlaka tayari kijana kapata baraka zote kutoka kwa Kadinali Pengo.
Kaa kwa kutulia.Upuuzi mkubwa.
Mwamba ni mpango wa Mungu MwenyeweHuyu jamaa ni bingwa wa robbing
Acha wivu wako wewe. Mmeanza kuweweseka kama kawaida yenu machademaHili jambo halikupaswa kutendeka katika Ofisi ya Umma.
Haiwezekani Viongozi wadai kutochanganya siasa na dini lakini wanafanya kinyume
Hivi akitokea Mufti wa Waislam anamuombea dua mtu wake Ofisini nanmna hiyo, tunaipeleka wapi nchi?
Mh Rais, huioni hatari hii? Hivi kweli Nyerere angelikubali hili kitokee?
JokaKuu Pascal Mayalla
Asante kwa uzi huu, Muadhama Polycarp, Kardinali Pengo, sio Kardinali pekee nchini, alitanguliwa na Muadhama Lauriani, Kardinali Rugambwa, na sasa pia tuna Kardinali Rugabwa mwingine!..leo tena kiongozi mwingine na mtumishi wa Mungu aliyewahi kuteuliwa na PAPA kiongozi mkuu wa kanisa katoliki Duniani kuwa Kardinali pekee hapa nchini ,Huyu ni askofu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es salaam Kardinali Pengo.
You're a CERTIFIED DAMN FOOL period.Pengo sio mkatoliki mwenzio, kalagabaho.
Kwa vile alikulawiti ndo unadhani ni mkatoliki mwenzio!I'm a CERTIFIED DAMN FOOL period.
Mkuu Nguruvi3 , serikali ndio haina dini ila watu wake wana dini zao, hakuna ubaya wowote, viongozi wowote wa dini, kumuombea, ofisini kwenye ofisi ya umma, and soon utamshuhudia Mufti, Malasusa, na Yuda Thadei Ruwa Ichi!.Hili jambo halikupaswa kutendeka katika Ofisi ya Umma.
Haiwezekani Viongozi wadai kutochanganya siasa na dini lakini wanafanya kinyume
Hivi akitokea Mufti wa Waislam naye anamuombea dua mtu wake Ofisini namna hiyo, tunaipeleka wapi nchi?
Mh Rais, huioni hatari hii? Hivi kweli Nyerere angelikubali hili kitokee?
JokaKuu Pascal Mayalla
Aliemsihi Membe apotezee ishu ya Musiba ila jamaa akakaza shingo,,,,,,ukimuona Pengo vigagula vinapata shida sanaPengo huyu huyu? Muulize Gwajima anayemjua
Kama nami pia NILIVYOKULAWTI WEWE na ukaenda Muhimbili kupigwa Bomba?Kwa vile alikulawiti ndo unadhani ni mkatoliki mwenzio!