Kardinali Pengo atua ofisini kwa Paul Makonda kumfanyia maombi maalumu ya baraka na kumpongeza kwa uteuzi

Kardinali Pengo atua ofisini kwa Paul Makonda kumfanyia maombi maalumu ya baraka na kumpongeza kwa uteuzi

Dr....
Nimerejea kwako.

Nimekuitika na kuandika historia ya TANU ilivyofungamana na dini.

Soma majibu ya post yangu.
Yametoka matusi.

Huna la kusema?

Mimi nikishaona mtu anatukana basi humwepuka kabisa.

Sijibu matusi.
Humnyamazia.
Mzee niwie radhi, ungeingia kwenye profile yangu ungeona last time nilikuwa online Saa ngapi hapa JF.

Ndio nimerudi nyumbani Saa hizi, nitadeal na kila aliyekutukana, Mimi ni mtoto wa Mjini born at ocean road.
 
Hivi kwanini huyu RC anapenda makamera kiasi hichi, na hizo zote ni gharama zake binafsi na kila tukio anataka lirushwe kwenye mitandao, hapa kuna kitu sio bure, kama sio malengo maalum ya serikali ili vijana wapoteze muda wao mwingi kujadiri upambuvu na kuacha mambo muhimu basi ni ujinga wa hali ya juu.
 
Ndugu zangu Watanzania,


Kilichopatikana kwa Maombi hulindwa kwa Maombi na kilichopatikana kwa uchawi na makafara hulindwa kwa uchawi na makafara yakiambatana na matambiko yasiyo kwisha. Kwa kuwa Mwamba Mwenyewe Makonda amekuwa akipata vyeo na nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya serikali na chama kwa njia ya maombi kwa Mwenyezi Mungu na hatimaye kujibiwa ,ndio maana ameendelea kujiweka karibu sana na Mungu,ndio maana ameendelea kujinyenyekeza mbela za Mungu na kumuomba Mungu kuendelea kuwa ndani yake na kumtangulia katika kazi zake.

Ndio maana viongozi mbalimbali wa kidini kutoka madhehebu mbalimbali wameendelea kumiminika ofisini kwake kumuombea na kumpa maneno ya hekima na baraka katika utumishi wake, wa kuwatumikia wana Arusha kwa haki na upendo kwa uweza wa Mwenyezi Mungu Mwenyewe.

Baada ya hapo majuzi Mtumishi wa Mungu Mwamposa kufika Ofisini kwa Mwamba Mwenyewe Makonda kumfanyia maombi na kufanya naye mazungumzo.leo tena kiongozi mwingine na mtumishi wa Mungu aliyewahi kuteuliwa na PAPA kiongozi mkuu wa kanisa katoliki Duniani kuwa Kardinali pekee hapa nchini leo hii ametua kwa kishindo kilichoiteka kanda ya kaskazini.

Huyu ni askofu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es salaam Kardinali Pengo.ambapo amefika ofisini kwa kijana wake na kumpongeza sana tena sana na kwa upendo mkubwa kwa heshima kubwa sana aliyoipata ya kuendelea kuaminiwa na Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan ya kuongoza mkoa wa Arusha. Sanjari na hayo amemfanyia maombi maalumu ya kumuombea baraka na neema katika uongozi wake.ili jiji liendelee kuwa na amani na utulivu.Kardinali Pengo hakuwa peke yake bali aliambatana na viongozi mbalimbali kutoka kila pembe ya nchi yetu tena wa ngazi za juu kabisa alipowasili ofisini hapo.

Ndugu zangu Watanzania nilishawaambieni sana kuwa acheni kushindana na mwamba Makonda.huyu ni mpango wa Mungu,ameinuliwa na Mungu Mwenyewe.mtahangaika na kushindana naye lakini hamtaweza kumshusha kileleni. Mtavaa na kuvalishwa mahiriizii na kutambika ili mumshushe lakini hamtaweza.mtatoa kila aina ya makafara ,kujichanja kila aina ya madawa na kubaki na chale tupu miilini mwenu utafikiri mlidondokea kwenye kiwanda cha nyembe lakini hamtaweza kumshusha Mwamba Makonda kilele.

Huyu Mwamba analindwa na maombi na mkono wa Mungu Mwenyewe.ndio maana mnaona anavyojiamini kwasababu Mungu yupo ndani yake.na Mungu akiwa ndani yako huwezi kuingia gizani maana yeye ni nuru na mwanga usiozimika. Aliyepewa kapewa tu ndugu zangu.sisi wengine tuendelee na kazi tu kwa kadri Mungu alivyo tupangia. ..

Msaidizi na katibu binafsi wa Mheshimiwa Rais Mheshimiwa Waziri Rajabu amewahi kuandika katika mtandao kuwa usishindane na nyakati zinapokuwa kwa mwenzako .lakini pia heshimu nyakati na wakati unapokuwa kwa mwenzako ili nawe uje uheshimiwe wakati utakapo kuwa upande wako kwakuwa nyakati huzunguka..huu ni wakati wa Mhessimiwa Makonda uliopangwa na Mungu mwenyewe kuwatumikia watanzania.tumuache afanye kazi na tuache Majungu ndugu zangu.

Mimi sinaga wivu kumpongeza mtu anayefanya vizuri.ndio maana inafika wakati watu wananiita chawa wa mtu fulani na wengine wakifikia hadi hatua kufikiri kuwa nalipwa.mimi ukifanya vizuri huwa sina hiyana kukupongeza,.ndio maana huwa nampongeza sana Mheshimiwa Rais kwa uchapa kazi wake. Makonda ni mchapa kazi sana ndio maana nampongeza kwa uchapa kazi wake, uzalendo na ubunifu wake katika kutekeleza majukumu yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

PIA, SOMA:
Ya Mungu mpe Mungu, ya kaisari mpe kaisari! Unafikiri atamuanika mganga wake wa kienyeji ili mumuone? Katika ccm hakuna Mungu!
 
Hahaha Nchi hii kuna wakuu wa mikoa wangapi au kuna mikoa mingapi na kwanini aombewe huyu yeye tu kila siku?
Kardinali anazunguka mikoa yote au wanafanya show Arusha pekee?

Kuna vitu hata havina tija, Kateuliwa kwa sababu wanaamini anaweza kufanya kazi iliyombele yake.

Afanye sasa, kesha ogopa au anatishwa na kivuli chake mwenyewe?

Maombi kila siku ya kazi gani? Kazi ataanza lini?
 
Pascal Mayalla anachosema ni kwamba hili jambo ni sawa sawa kwasababu serikali haina dini ila watu wake wana dini. Yupo sahihi kabisa lakini hajaangalia hoja kwa madhara ya muda mrefu.

Taratibu tutasikia sheikh mkuu akimuombea Katibu Wizara X Ofisini, halafu askofu wa KKKT akimuombea RAS wake katika Mkoa X, huku tutasikia kuna maombi Ikulu kwa Waanglikana hapo bado akina Gwajima hawajaingi , Mwamposa n.k.
Mkuu Nguruvi3 , tena kuna mengine hayajasemwa, CAG Prof. Assad alipokua CAG, kwa vile yeye ni mtu wa swala 5, alijenga chumba maalum cha kuswalia, kwenye ofisi ya umma!.

Mimi naendelea kusisitiza, nchi yetu haina dini na serikali yetu haina dini bali watu wake wana dini zao!, hakuna ubaya wowote mtu yoyote, kuja kuombewa na kiongozi wa dini yeyote maombi ya kawaida, kwenye ofisi za umma. Maaskofu waje, mapadre waje, masheikh waje, mitume na manabii waje, hata watu wa tunguli pia waje!.

Kitu ambacho sio right ni kufanya any religious rites kwenye ofisi ya umma!. Huwezi kufanya adhimisho la misa, ibada, sadaka, kafara, manyanga, au kuleta tunguli!.

Sala tuu hazina shida yeyote!. Ila pia Tanzania tuna shida fulani kwenye udini na siasa za nchi yetu, mimi nimefanya observation kwa muda mrefu, kila rais wa Tanzania anapokuwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki!. Nikajiuliza jee inatokea tuu by chance, it's just a coincidence, or it's a premeditated moves?. Nasubiria atakayefuatia baada ya Samia, then nita confirm!. Niliuliza Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!
P
 
Sasa mbona Ramadhan Dau aliitwa mdini?

Au tatizo ni Uislamu?

Tukianza kuleta duwa za masheikh kwenye ofisi za umma mtulie hivyohivyo na duwa tamu tutaleta na madufu ya watoto wa madrasa.

Cc: Mohamed Said
Dau iliitwa mdini kwasababu kadhaa wa kadhaa, naomba nisizitaje hapa, rukhsa kuleta kila aina za dua za masheikh hata wa kutoka Mecca, ila dufu, sadaka, kafara, na albadir, hapana!.
P
 
Mkuu wewe ni mtu mwenye upepo mkubwa Sana hapa JF lakini nahisi kuna Vitu huvijui au labda unavijuwa hapa unasherehesha tu.

Kanisa Katoliki lina Siri kubwà, huyo Pengo ni takataka tu hata huko kanisani.

Kitendo cha kuwekewa Askofu muandamizi kwenye Jimbo kuu maana yake Vatican ilicover tu image yake asistaafu Kwa aibu.

Pengo kitendo cha kukana waraka wa maaskofu tayari huyo ni Kafir.

Sijawahi kukubali Gwajima lakini siku Gwajima alipomtolea uvivu huyu Illuminati Pengo nilimuunga mkono Gwajima.

Watu kama Pengo ndio wamesababisha wengine sasa hivi hatuendi kanisani tunasali kwenye TV na kumuomba Mungu nyumbani.
Huachi kwenda kwenye nyumba ya ibada kwasababu tuu umekwazika au fulani amekukwaza!.
P
 
Mkuu Nguruvi3 , tena kuna mengine hayajasemwa, CAG Prof. Assad alipokua CAG, kwa vile yeye ni mtu wa swala 5, alijenga chumba maalum cha kuswalia, kwenye ofisi ya umma!.

Mimi naendelea kusisitiza, nchi yetu haina dini na serikali yetu haina dini bali watu wake wana dini zao!, hakuna ubaya wowote mtu yoyote, kuja kuombewa na kiongozi wa dini yeyote maombi ya kawaida, kwenye ofisi za umma. Maaskofu waje, mapadre waje, masheikh waje, mitume na manabii waje, hata watu wa tunguli pia waje!.

Kitu ambacho sio right ni kufanya any religious rites kwenye ofisi ya umma!. Huwezi kufanya adhimisho la misa, ibada, sadaka, kafara, manyanga, au kuleta tunguli!.

Sala tuu hazina shida yeyote!. Ila pia Tanzania tuna shida fulani kwenye udini na siasa za nchi yetu, mimi nimefanya observation kwa muda mrefu, kila rais wa Tanzania anapokuwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki!. Nikajiuliza jee inatokea tuu by chance, it's just a coincidence, or it's a premeditated moves?. Nasubiria atakayefuatia baada ya Samia, then nita confirm!. Niliuliza Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!
P
Haya mambo ya imani za watu na kazi za utumishi wa uma vina uhusiano gani? Mbona nchi zilizoendelea huwa hatuayoni au wanatuficha.

Hapa kwetu watawala badala ya kufanya kazi zao wao wako na matukio ya ajabu ajabu tu.
Hizi ofisi huwa zina mpango kazi/Job description na qualification au huwa wanagawa tu kama zawadi?

Huwa natamani nifahamu majukumu yao ni yapi na yanatekelezwaje yani ile instrument ya kazi inamtaka afanye nini ili asipofanya tumuhoji. Yani kila mkuu wa mkoa au wilaya anasarakasi zake hakuna uniformity.

Tuna vyeo vingi lakini hakuna tija, halafu tunalalamika hatuoni maendeleo, Yatatoka wapi kama pesa zote wanalipwa watawala?

Kwani Rais hana uwezo kupunguza idadi ya mikoa au wilaya ni kuongeza tu?
 
Ndugu zangu Watanzania,


Kilichopatikana kwa Maombi hulindwa kwa Maombi na kilichopatikana kwa uchawi na makafara hulindwa kwa uchawi na makafara yakiambatana na matambiko yasiyo kwisha. Kwa kuwa Mwamba Mwenyewe Makonda amekuwa akipata vyeo na nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya serikali na chama kwa njia ya maombi kwa Mwenyezi Mungu na hatimaye kujibiwa ,ndio maana ameendelea kujiweka karibu sana na Mungu,ndio maana ameendelea kujinyenyekeza mbela za Mungu na kumuomba Mungu kuendelea kuwa ndani yake na kumtangulia katika kazi zake.

Ndio maana viongozi mbalimbali wa kidini kutoka madhehebu mbalimbali wameendelea kumiminika ofisini kwake kumuombea na kumpa maneno ya hekima na baraka katika utumishi wake, wa kuwatumikia wana Arusha kwa haki na upendo kwa uweza wa Mwenyezi Mungu Mwenyewe.

Baada ya hapo majuzi Mtumishi wa Mungu Mwamposa kufika Ofisini kwa Mwamba Mwenyewe Makonda kumfanyia maombi na kufanya naye mazungumzo.leo tena kiongozi mwingine na mtumishi wa Mungu aliyewahi kuteuliwa na PAPA kiongozi mkuu wa kanisa katoliki Duniani kuwa Kardinali pekee hapa nchini leo hii ametua kwa kishindo kilichoiteka kanda ya kaskazini.

Huyu ni askofu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es salaam Kardinali Pengo.ambapo amefika ofisini kwa kijana wake na kumpongeza sana tena sana na kwa upendo mkubwa kwa heshima kubwa sana aliyoipata ya kuendelea kuaminiwa na Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan ya kuongoza mkoa wa Arusha. Sanjari na hayo amemfanyia maombi maalumu ya kumuombea baraka na neema katika uongozi wake.ili jiji liendelee kuwa na amani na utulivu.Kardinali Pengo hakuwa peke yake bali aliambatana na viongozi mbalimbali kutoka kila pembe ya nchi yetu tena wa ngazi za juu kabisa alipowasili ofisini hapo.

Ndugu zangu Watanzania nilishawaambieni sana kuwa acheni kushindana na mwamba Makonda.huyu ni mpango wa Mungu,ameinuliwa na Mungu Mwenyewe.mtahangaika na kushindana naye lakini hamtaweza kumshusha kileleni. Mtavaa na kuvalishwa mahiriizii na kutambika ili mumshushe lakini hamtaweza.mtatoa kila aina ya makafara ,kujichanja kila aina ya madawa na kubaki na chale tupu miilini mwenu utafikiri mlidondokea kwenye kiwanda cha nyembe lakini hamtaweza kumshusha Mwamba Makonda kilele.

Huyu Mwamba analindwa na maombi na mkono wa Mungu Mwenyewe.ndio maana mnaona anavyojiamini kwasababu Mungu yupo ndani yake.na Mungu akiwa ndani yako huwezi kuingia gizani maana yeye ni nuru na mwanga usiozimika. Aliyepewa kapewa tu ndugu zangu.sisi wengine tuendelee na kazi tu kwa kadri Mungu alivyo tupangia. ..

Msaidizi na katibu binafsi wa Mheshimiwa Rais Mheshimiwa Waziri Rajabu amewahi kuandika katika mtandao kuwa usishindane na nyakati zinapokuwa kwa mwenzako .lakini pia heshimu nyakati na wakati unapokuwa kwa mwenzako ili nawe uje uheshimiwe wakati utakapo kuwa upande wako kwakuwa nyakati huzunguka..huu ni wakati wa Mhessimiwa Makonda uliopangwa na Mungu mwenyewe kuwatumikia watanzania.tumuache afanye kazi na tuache Majungu ndugu zangu.

Mimi sinaga wivu kumpongeza mtu anayefanya vizuri.ndio maana inafika wakati watu wananiita chawa wa mtu fulani na wengine wakifikia hadi hatua kufikiri kuwa nalipwa.mimi ukifanya vizuri huwa sina hiyana kukupongeza,.ndio maana huwa nampongeza sana Mheshimiwa Rais kwa uchapa kazi wake. Makonda ni mchapa kazi sana ndio maana nampongeza kwa uchapa kazi wake, uzalendo na ubunifu wake katika kutekeleza majukumu yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

PIA, SOMA:
I seee this how CCM leaders to fool Infront of our eyes, Mimi naona wote wanahitaji maombi 😂
 
Back
Top Bottom