Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Bandari haijawahi kufeli Nenda kaangalie mitambo iliyofungwa mle. Pale TPA hata foleni ya malori hakuna ni mara chache Sana ila sio kama miaka ya nyumaIt's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Kkenge ww, eti huna diniAcha upumbuvu Na udini.Mimi Sina Dini ila nachukia saaana Haya majitu yanayowaza Dini tuu..Rome na Bandari vinaiingilianaje Hapo???Dini ni utumwa wa fikra.
Hivi Accasia na TICTS walitokea upande upi wa dunia hii?América na Europe hawezi kuwekeza kwenye nchi ya wajinga wajinga.
Huku wanapaweza wahindi na wachina tu
Huwezi kuamini hoja ya asiyeaminikaVipi hoja yake nayo haiaminiki?
Hutuna mwenye uwezo wapewe watasha na Monde ArabèWao ndo wameshindwa....basi wapishe watanzania wengine wenye uwezo waendeshe
Basi wapewe na TRA bandariniBandari haijawahi kufeli Nenda kaangalie mitambo iliyofungwa mle. Pale TPA hata foleni ya malori hakuna ni mara chache Sana ila sio kama miaka ya nyuma
Msumbufu wa pale bandarini ni TRA. Sema watu hudhani Kila changamoto mle ni TPA wakati SI kweli changamoto nyingi mle ni TRA.
Wa huko Italy hawawezi kuja na mkataba wa kishenzi namna hii.Mfano Dpworld wangekuwa wanatokea Rome Italy..
Angeuliza haya maswali???
The Boss ! Well said ! Unajua watu kama hiki kipimbi Bams ni kijinga kupindukia. Sisi tuonaongelea uwekezaji chenyewe kinaleta ukristu humu! Fala kabisa hichi kimtu labda kiombe Jf waanzishe Jukwaa la dini au kisibiri jumamosi asubuhi kiende jumuiya kikaongee huo ukenge wake lakini sio humu kumpafu kabisa # BamsWa huko Italy hawawezi kuja na mkataba wa kishenzi namna hii.
Sema wewe ndio hauwezi!
Ukiwa kiziwi utasikiaje? Wenye masikio na macho tunaukumbuka ule waraka mkali wa pasaka uliotolewa na TEC, uliomkera sana JPM kiasi cha kufikia kuamrisha makanisa yalipe kodi hata kwa vitu ambavyo ni kwaajili ya huduma.Wakati wa JPM walikuwa kimyaa msituletee udini hapa hakuna dini yenye haki zaidi katika kuongoza hii nchi. Kwa JPM sikuwahi kusikia waraka wa wakatoliki
Hivi inakuaje tunaweza kuendesha nchi halafu tunashindwa Bandari?
Bufa ! Achana na hilo puuzi JohnBaptist yeye na huyo pimbi mwenzake wanaleta ujinga wao sijui kardinal mapengo kasema hv ! Yeye ni nani katika masuala ya uchumi wa taifa ! Abaki na hayo mapengo yake!Wewe unaweza?
Ni muda wa kuangalia management companies au raia wa kigeni wenye sifa sahihi na kuwapa kazi za kusimamia taasisi zote za kibiashara zinazomilikiwa na serikali sio bandari tu.
Muhimu ni kuwekeana mikataba ya performance targets.
Juzi Suma JKT imezindua kituo chao mafuta kwa hakiba ya hela zao; kwa sababu hakuna ubadhirifu kama ilivyo kwenye taasisi za serikali.
Kwanini TPDC aina vituo vya mafuta kuwa mshindani ndani ya soko. Moja ya sababu ni kwamba mteja wake mkubwa wa gas hivi sasa ni TANESCO na Dangote. TANESCO toka wameanza kupewa gas na TPDC awajawahi lipa ata centi 5, gas ambayo wanatumia kufanyia biashara na juzi hilo deni la TPDC serikali wamelifuta.
Watu ambao wameshindwa kuwalipa taasisi ambayo inauwazia malighafi wanayozalishia, hapo hapo wameenda kuingia mkataba wa kununua umeme wa jua; kipindi ambacho watakuwa na uzalishaji wa ziada bwawa la Nyerere.
Nimewatolea mfano tu hao TANESCO lakini wote TTCL, ATCL, NHC, TPDC, TRC na ikiwezekana halmashauri kama kuna uwezo wa kuajiri wageni katika nafasi ya wakurugenzi iwe hivyo.
Ifike wakati tuambizane ukweli watanzania hasa wanaoteuliwa na serikali awawezi kazi; unahitajika utaratibu mwingine ukizingatia sector zingine zina multiplier effect kubwa ya uchumi kama bandari.
Serikali isiishie na bandari tu, waende mbele wenyeji awawezi kazi.
Bandari haijawahi kufeli Nenda kaangalie mitambo iliyofungwa mle. Pale TPA hata foleni ya malori hakuna ni mara chache Sana ila sio kama miaka ya nyuma
Msumbufu wa pale bandarini ni TRA. Sema watu hudhani Kila changamoto mle ni TPA wakati SI kweli changamoto nyingi mle ni TRA.
Kati ya makosa ya marehemu ni uwongo kuhusu Acacia, na Kabudi alikiri hilo.Hivi Accasia na TICTS walitokea upande upi wa dunia hii?
Hadi Takukuru nao hovyo mno! Eti kila siku kesi za mahakimu wa mahakama za mwanzo na watendaji wadogo serikalini huku wakubwa wakipeta tuu! Tena Takukuru wapewe wale jamaa wa Tamil Tigers wa Sir LankaMaza akitoka bandarini aende airports. KIA ilifufuka baada ya kupewe muwekezaji. TAA, TTCL, TANESCO zote wapewe wawekezaji.
Ukiona taasisi ya Serikali imeshindwa, ujue Serikali ndiyo imeshindwa. Kwa hiyo tufikirie kumpa Serikali mwarabu.Huo ndio ukweli ifike wakati tuukubali; watanzania wanahitaji kufundishwa kazi kwenye biashara na walioonyesha uwezo wao kwengine duniani.
Experimental zinatosha.
Moja ya matatizo makubwa ya Wadanganyika. Kujadili watu badala ya Hoja. Tumeona na Bungeni pia, Hoja ni Mkataba, wao wanamjadili Mbowe!Tatizo la Pengo ni kutokuaminika