Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

mwanamke.anahisi.ndio.anaamua.lakini.mwanaume anafikiri.ndio anaamua tafakari chukua hatua nilijua tu zile bakishishi za magari kwa wastaafu.wakuu wa.jwtz milioni za magori.ziliashiria kitu
 
Let Kardnal Pengo of Roman Catholic run the Church with instructions from another Country known as Vatican 🇻🇦 and the Government run the full independent Country known as Tanzania 🇹🇿.

Tena wakome kabisa kujishughulisha na mambo yasiyo ya kiimani. Tanzania ni nchi nzuri na haina dini. Mbona madhehebu na dini nyingine wapo busy na mambo yao ya msingi, halafu hawa wanataka kuifanya Tanzania kama koloni la Vatican ????
 
Why not sir?
Mutungi mkataba wako wa kiimani na nchi ya Vatican ni wa miaka mingapi! Kiana nyie Catholics mna Dual Citizenship

1. Ethical and Faith Citizenship chini ya milki ya Mfalme Pope of Vatican.
2. Normal Citizenship of Tanzania.

Na hoja kubwa hapa ni Mwarabu! Hivi sisi huku Africa tena especially Bongo hizi dini tuliletewa wakati wanakutawala.

Kwa mfano walipotangulia wazungu ndio kukawa na Ukristu na walipokuwa waarabu pakawa na Islam that's all.

Wewe mfano ungekuwa waliotangulia ni waarabu lazima ungekuwa sasa hivi ni Sheikh.

Acheni chuki za kidini kwani originally hizi ni za kuletwa tuu. Tusimchukie Dubai World kisa Arabian mbona kampuni nyingi tuu za watasha zina mikataba mingi tuu bongo tena yenye thamani kuliko hiyo ya Bandari! Na wapo kitambo tuu.

Tuache ujinga katika mambo ya maendeleo hao wafadhili wakubwa wa wapo zaidi ya nchi 80 ikiwemo USA na Hata UK sasa sisi bongo kimuhemuhe na kisebusebu pia kihoro kinatoka wapi tena.
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
hii nchi ni kisiwa cha giza hakuna tunachoona kwa macho ya viongozi hatuna.
 
Mfano Dpworld wangekuwa wanatokea Rome Italy..
Angeuliza haya maswali???
Je nao wangeandika mkataba wa hovyo kama huo usio kuwa na kikomo? Hivi ni kwanini viongozi wengine wanajificha hawatoki waziwazi kuzungumzia hili jambo au kujibu hoja mbalimbali yaani wapo kimya mpaka mjinga naye anastuka.
 
Bandari haijawahi kufeli Nenda kaangalie mitambo iliyofungwa mle. Pale TPA hata foleni ya malori hakuna ni mara chache Sana ila sio kama miaka ya nyuma


Msumbufu wa pale bandarini ni TRA. Sema watu hudhani Kila changamoto mle ni TPA wakati SI kweli changamoto nyingi mle ni TRA.
Huko sahihi mkuu, kama kupata tax clearance waweza chukua masaa 4 itakuwa huko bandarini?
 
Back
Top Bottom