Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Kwa nini huyo raise mbovu kuachia ngazi Kwa kushindwa kazi, usichokimudu maana yake hutoshei, atangaze kuondoka tukodi mzungu aendeshe ikulu kwanza. Ni akili za kipumbavu sana.
 
Hatuwe = wanasiasa hawawezi. Wako watanzania wengi wenye uwezo hivyo usiseme hatuwezi.
Macho hakuna Mkuu tunajidanganya nini ili isaidie nini! Wacha tuwape wenye uwezo sisi tupige mapato kurefu ! Tumechoka kila mara eti wafanyakazi fulani wa bandari wana kesi za kuiba ! Huko hapana tena mkuu
 
Macho hakuna Mkuu tunajidanganya nini ili isaidie nini! Wacha tuwape wenye uwezo sisi tupige mapato kurefu ! Tumechoka kila mara eti wafanyakazi fulani wa bandari wana kesi za kuiba ! Huko hapana tena mkuu
Unafanya kosa kubwa sana. Hakuna mtu atakayekufanyia kazi huku wewe umekaa halafu eti akuletee faida.
 
Kama ishu ya bandari inalenga kuifanya Tanzania hasa Tanganyika iwe nchi ya kiislamu na pia kuiua kabisa Tanganyika liwekwe wazi, waislam kwenye ishu ya bandari wanatia shaka sana, na inaonekana wana kipaumbele cha uislam kuliko chochote, na huu mpasuka kama waislam akili zao na uwezo wao wa kufikiri ndio huu ni hatari sana, moto utawaka, ipo shaka yamkini kuna agenda kubwa ya siri ya kuharibu Tanganyika .

Huyu Bibi bila shaka ni mamluki ama kanunuliwa, ama akili zina mashaka makubwa mno.
 
"....najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Yeye huyo Pengo anaweza nini zaidi ya kuishi Kwa kutegemea sadaka?

Pili yeye ndio atupe jibu Watazn wepi wanaoweza Kuendesha Bandari Ili wapatiwe mradi au hata yeye kama anaweza ajitokeze,amwage pesa na aweke usimamizi unaotakiwa.
 
Aibe nini wale wazungu kule migodini hawaibi pimbi wewe
Kukimbilia kutoa lugha zisizo staarabika inadhihirisha ni kwa kiasi gani una udumavu wa akili jambo linaloathiri uwezo wako wa kufikiri.
Kwahiyo kama tulikosea kwenye mikataba ya migodi ndiyo tukosee na kwenye bandari pia?
Two blacks never makes a white
 
Hivi inakuaje tunaweza kuendesha nchi halafu tunashindwa Bandari?
Kama umeshindwa kuendesha Bandari ambayo ndiyo lango kuu la uchumi,hiyo ni automatically Nchi isha feli na tulishashindwa kuisimamia Nchi na vitega uchumi vyake ndiyo maana tunakaribisha wageni wenye uwezo waje watuendeshee Nchi yetu!!
 
Laiti kama ningekuwa Raisi ningeandaa tukio la kuwafyeka wasaliti tu. Nawakusanya kwenye jengo flani kisha nna walipua tu. 🤣🤣🤣

Nna hakikisha wale wahuni wote wako high table. Inashushwa mashine moja mkuda hakai.
 
Hao watu wa ka..... Ni matapeli tu
Hao watu wa ka..... Ni matapeli tu

Kama ishu ya bandari inalenga kuifanya Tanzania hasa Tanganyika iwe nchi ya kiislamu na pia kuiua kabisa Tanganyika liwekwe wazi, waislam kwenye ishu ya bandari wanatia shaka sana, na inaonekana wana kipaumbele cha uislam kuliko chochote, na huu mpasuka kama waislam akili zao na uwezo wao wa kufikiri ndio huu ni hatari sana, moto utawaka, ipo shaka yamkini kuna agenda kubwa ya siri ya kuharibu Tanganyika .

Huyu Bibi bila shaka ni mamluki ama kanunuliwa, ama akili zina mashaka makubwa mno.
Wadiz! Wewe mtoto mdogo mfupi kama fikra zako ! Tena pumbafu kabisa unataka kuleta chokochoko za udini kisa ujinga wako! Hao wabunge waliopitisha wote ni waislam au muswaada ulipitishiwa zanzibar!

Pumbafu wale waarabu wa uturuki wanaojenge SGR wamekuja kipindi kipi kenge wewe!

Tena usirudie hayo maneno yako meusi meusi haramu wewe! Au awamu ya tatu Rip Ben alivyobinafsisha makampuni mengi kwa wazungu kulikuwa na lengo la ufanisi au udini !

Mamayo!
 
"....najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Kama mitambo tu bas tuchangisheni bukubuku Kila mbongo tununue situko 60000000
 
"....najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Mama Hatufai ....2025 TISS Jeshi amueni kitu kwa maslahi ya Taifa ......nchi sio ya Rais na mna madaraka kupindua meza kwa mgombea....iwe hivyo
 
Bandari haijawahi kufeli Nenda kaangalie mitambo iliyofungwa mle. Pale TPA hata foleni ya malori hakuna ni mara chache Sana ila sio kama miaka ya nyuma


Msumbufu wa pale bandarini ni TRA. Sema watu hudhani Kila changamoto mle ni TPA wakati SI kweli changamoto nyingi mle ni TRA.
Kwanza hata bandarini umewahi kufika? Unajiongelea tu.
 
Back
Top Bottom