Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

"....najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Mnafiki sana huyu mzee
 
Hadi viongozi wa dini wanaupinga huu mkataba ujue ni wa kihuni zaid na haufai.Shauri zenu watawala msiposikia sauti za wengi maana sauti za wengi ni ya Mungu.
Hao viongozi wameshanusa hawatapata kitu.

Hao si ndio supporters wa wasiojulikana enzi zile?
 
"....najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Swali jepesi liwe hili je watanzania hatuna akili za luendesha bandari zetu?,(are Tanzanians lacking skill set,(logistic skills) and personal entrepreneurial competences
 
Mjinga
"....najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Sana huyo aende kwa mabwana zake huko vatican
 
Angeuliza tu.

Hoja yake je ni kweli tumeishindwa kabisa kuindesha hio bandari.

Wakati tunaamuni Dp Wana uwezo why Kaa sisi tusijijengee huo uwezo halafu tukasimimia wenyewe. Why!?

Shida Nini mtaji!?, Usimamizi!? Mashine !?, Je serikali hii yenye kununua mashangingi na anasa za Kila aina Kila mwaka zile za MATUMIZI MENGINE inashindwa kuendesha bandari ni strictly way!?

Wengi tunahoji kwa muktadha huo hata ingetoka mars tungeuliza maana huwezi mpya mtu rasilimali muhimu kama bandari milele halafu ukawa umejifunga kwa mkataba kwa masharti kibao.

Hii nchi bhana inachosha sana
Tatizo ni ubinafsi wa CCM na mfumo wake, pia tuna jamii mfu ambayo haiwezi ikahoji kwa sauti inayosikika
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Huko Beira kuna DP World au wanaendesha wenyewe?
 
Tatizo linaanzia juu, labda kulimaliza tuajiri rais mgeni toka nje.
Utaratibu wa siasa ni ushindani wa vyama, chances ya kubadili kama hawa waliokuwepo awafai ni kupitia sanduku la kura kila baada ya miaka mitano.

Bado kuna utaratibu wa katiba pia ili ugombee hizo nafasi; kwa kifupi mgeni aiwezekani.

Huko kwenye kuamua namna gani taasisi za kibiashara za serikali zinavyoendeshwa hao wanaokuwa wameshinda uchaguzi katika muda wao wanakuwa ni hiyo idhini ya kufanya wanayozani sahihi kuongeza ufanisi.
 
Hivi muwekazaji TICTS anatoa gawio la sh ngapi kwa serikali kwa mwaka na huduma zake zpoje?
 
"....najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Tatizo la Pengo ni kutokuaminika
Mfano Dpworld wangekuwa wanatokea Rome Italy..
Angeuliza haya maswali???
Nilishamtoa thamani kabisa huyo jamaa, tena afadhali akae kimya tu mnafiki huyo. Maana alichagua kutofautiana na wenzake wote kwa ajili tu kumbeba mwendazake, hata pale wenzake walipodharirishwa na kutiwa misukosuko na serikali ile yeye bado aliamua kuwa upande wake.
Pengo ana elements nyingi sana za udini, alimsumbua sana Kikwete lakini kamwe hakuwahi kuinua mdomo dhidi ya Magufuli, alibaki akimsifu huku akiwapiga vijembe Maaskofu wenzake wa Katoliki walipojaribu kusimama. Akaenda mbele zaidi na kuanza kumtabiria urais Makonda.
Zee la hovyo sana Hili.
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Labda wewe ndio huwezi....unaongea kwa niaba ya wote?...
Acheni wizi.....
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Hatuwe = wanasiasa hawawezi. Wako watanzania wengi wenye uwezo hivyo usiseme hatuwezi.
 
Ni muda wa kuangalia management companies au raia wa kigeni wenye sifa sahihi na kuwapa kazi za kusimamia taasisi zote za kibiashara zinazomilikiwa na serikali sio bandari tu.

Muhimu ni kuwekeana mikataba ya performance targets.

Juzi Suma JKT imezindua kituo chao mafuta kwa hakiba ya hela zao; kwa sababu hakuna ubadhirifu kama ilivyo kwenye taasisi za serikali.

Kwanini TPDC aina vituo vya mafuta kuwa mshindani ndani ya soko. Moja ya sababu ni kwamba mteja wake mkubwa wa gas hivi sasa ni TANESCO na Dangote. TANESCO toka wameanza kupewa gas na TPDC awajawahi lipa ata centi 5, gas ambayo wanatumia kufanyia biashara na juzi hilo deni la TPDC serikali wamelifuta.

Watu ambao wameshindwa kuwalipa taasisi ambayo inauwazia malighafi wanayozalishia, hapo hapo wameenda kuingia mkataba wa kununua umeme wa jua; kipindi ambacho watakuwa na uzalishaji wa ziada bwawa la Nyerere.

Nimewatolea mfano tu hao TANESCO lakini wote TTCL, ATCL, NHC, TPDC, TRC na ikiwezekana halmashauri kama kuna uwezo wa kuajiri wageni katika nafasi ya wakurugenzi iwe hivyo.

Ifike wakati tuambizane ukweli watanzania hasa wanaoteuliwa na serikali awawezi kazi; unahitajika utaratibu mwingine ukizingatia sector zingine zina multiplier effect kubwa ya uchumi kama bandari.

Serikali isiishie na bandari tu, waende mbele wenyeji awawezi kazi.
usitumie nguvu nyingi ukiambiwa Linda kura yako usidharau.
 
Back
Top Bottom