Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar


Wewe utakuwa shabiki wa Yanga tu...hebu tulia dawa ikuingie💉💉
 
Sijashangaa kuona Tanzania ingawa imefuzu CHAN 2020, lakini haijatoa hata mwamuzi mmoja wa kuchezesha hayo mashindano.

CAF wana akili sana. Wanatambua fika waamuzi wa Tanzania hawana umakini wawapo uwanjani. Haiwezekani mchezaji hayupo offside, mshika kibendera ananyoosha kibendera! Mchezaji kasukumwa nje ya 18, mwamuzi anaweka tuta.

Mchezaji anajiangusha uwanjani, hajaguswa na mtu na mpira uko kwenye goli lake, refa anapiga filimbi. Ujinga mtupu. Ningekua naishi Kagera, ningempiga mimba huyu mwamuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…