BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
-
- #41
Saaa ndio shisa iko jaoo, tunaua viwanda vyetu tunaanza tujuza vya wenzetu. Nchi asilimia 99 imejaa products za nje. then tunajisifu?Viwanda vinakufa kwa sababu ya kodi na wanasiasa kua wafanya biashara juzi kiwanda kinauzwa watu wajenge nyumba urafiki achana na viwanda vingine vingi vimejifia mashirika mengi pia yamejifia machache yanajikongoja km Tazara na Mengine mengi.Serikali imekaa kutafuta kodi tu hawawazi kujenge uchumi kwa mwananchi kwa kuongeza thamani ya bidhaa zetu kwa kujenga viwanda.Vijana wengi wanaisgia kua machinga hata kusimamia tu kilimo basi vijana wajiajiri huko wameshindwa ila watu wakilima na kuvuna unakuta vizuizi lipa tozo mara hiki.Tanzania hatuna viongozi .
una apply politicak Science haoa mkuuWewe unaiita Kariakoo dampo una akili kweli? Hivi unajua thamani ya mitaji ya biashara waliyoiweka watu pale?
Acha dharau mdogo wangu, pale pana mzunguko sana wa fedha na hata wateja kutoka nje ya nchi kama Congo huenda kununua bidhaa Kariakoo. Bidhaa zinatoka Kariakoo zinaenda mikoani
Mpaka Kariakoo iitwe mkoa wa kikodi unafikiri TRA walikurupuka
Shame on you,angalia Kodi inayokusanywa kariakoo kwa siku Moja Kodi ni 5 milioni ,sijui source yako ni ipiKariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi
Huyu hajielewiWewe unaiita Kariakoo dampo una akili kweli? Hivi unajua thamani ya mitaji ya biashara waliyoiweka watu pale?
Acha dharau mdogo wangu, pale pana mzunguko sana wa fedha na hata wateja kutoka nje ya nchi kama Congo huenda kununua bidhaa Kariakoo. Bidhaa zinatoka Kariakoo zinaenda mikoani
Mpaka Kariakoo iitwe mkoa wa kikodi unafikiri TRA walikurupuka
Huyu jamaa naona hazimo Yani anajua kariakoo ni msingi wa biashara east Africa yeye anaongea porojoWewe unaiita Kariakoo dampo una akili kweli? Hivi unajua thamani ya mitaji ya biashara waliyoiweka watu pale?
Acha dharau mdogo wangu, pale pana mzunguko sana wa fedha na hata wateja kutoka nje ya nchi kama Congo huenda kununua bidhaa Kariakoo. Bidhaa zinatoka Kariakoo zinaenda mikoani
Mpaka Kariakoo iitwe mkoa wa kikodi unafikiri TRA walikurupuka
Sgr nayo ifungwe. Inabeba watu tu. Au sioDunia nzima nchi zinapigana kuwa nchi za viwanda, na wanajua nguvu ta nchi yoyoe iko kwenye viwanda na si kuwa Dumping site.
Su bure meli za mizigo zinageuza tupu kurudi ziliko toka then tunashangilia, yaanu tunashangilia meli kubwa za mizigo kutua nanga kuleta products na kuondoka tupu?
Magari ya mizigo huwa yanarudi tupu Dar es salaam mengine yanaamua kubebana kwa sababu sisi ni Dumping site ya products za nje ya nchi.
Sijui SGR itabeba mizigo gani kupeleka Dar es salaam Bandarini
Kwanini hukumuambia Chalamila atulie!Kariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.
Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.
Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.
Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?
Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.
Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?
Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?
Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.
Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.
Unahangaika!Ujinga umetuzidi kama mtoa hoja alivyoeleza. Kariakoo ni muhimu kwa TRA kudai kodi sio kwamba ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi. Ni soko muhimu kwa uuzaji wa bidhaa za nje kwa hivyo ni mhali muhimu kwa taifa kutoza kodi na kodi kubwa kwa zile bidhaa zinaleta ushindani usio sawa kwa zile bidhaa tunazalisha nchini.
So tushangilie kuwa Dampo?
Wewe uelewa wako ni mdogo sanaHaiondoi neno Dampo, Kariakoo ni Dampo la products za kigeni, shida wana siasa wanawadanganya sana, mitaji haibadili ukweli, maada ngumu huwezi elewa
Ndio vinatakiwa vipromotiwe, mapinduzi ya viwanda hayaji kwa kuoenda vya nje, Hii nchi inaend akuwa Dampo la kudumu la bidhaaa za njeKwahiyo wewe unavyoona Tanzania ina viwanda gani vya kujaza kariakoo?
Sahihi ...💯💯💯Kariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.
Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.
Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.
Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?
Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.
Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?
Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?
Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.
Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.
Hata China ukienda utakuta bidhaa za Japani, India Ulaya, Marekani na Korea kusini, Maada ngumu hii huwezi elewa.Wewe uelewa wako ni mdogo sana
Marekani, Ulaya, mataifa ya ASEAN na Latin America wanatumia zaidi bidhaa za kutoka China kuliko Tanzania
Kwa hiyo wao ni madampo makubwa sio?
Viwanda havijenngwi na Chama vinajengwa kwa Sera nzuri ambazo Bongo hazipo, tumekalia siasa za Uchawa tu na kudanganyanaKwanini serikali ya CCM isijenge hivyo viwanda?
Mkuu wajinga hawataelewa hili kamwe na hawawezi kukuelewa ndio Tatizo la hii nchi. Kariakoo pale hakuna ajira zinazo zalishwa pale, Ajira zinazalishwa China kule tunako chukua mzigo.Sahihi kabisa, Kariakoo imechangia pakubwa kudumaza sekta ya viwanda Tanzania.
Ni kechocheo cha kuendelea kuifanya nchi yetu wachuuzi wa bidhaa za China.