Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

Umasikin ni mbaya sana aisee. Nyie ndio mkiona mtu kanunua range rover mnamlaumu kwa kununua gari inayotumia mafuta. Mzee ukiona unanunua kitu kwa kubagain ujue hali yako ni mbaya pambana mkuu.
Tajiiiiriii
 
Wanakela kinoma, ukiingia sokoni tu hao washakufata. Mimi nikiona wananifata huwa nasimama nawageukia na sura ngumu kama undertaker halafu nawauliza vipi. hao wanakaa pembeni wenyewe.

Macho ya kuona bidhaa ninayo sasa ndio nini kufatwa fatwa
 
Hao wateja wa nje mtawakimbiza kwa bei kubwa za mawinga.
Wataenda nchi jirani au maeneo mengine Kama huko Mbagala, Tandika na Mikoani.
Dunia utandawazi watapata taarifa za masoko ya bei nafuu. Msije kuwalilia serikali wameharibu soko lenu kumbe tatizo wenyewe.
 
Sure mkuu, mawinga watafute wateja uko mtaani na majumbani, sio mtu unaenda mwenyewe sokoni halafu unafatwa fatwa na kundi la watu kama vile hauna macho ya kuona bidhaa zinazouzwa
 
Muongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…