AiSeeeHabari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.
View attachment 2768279
View attachment 2768304
View attachment 2768357
Bhalaa KubwaTena?
Wanunue hayo ili wasipige hela, kwenye maelezo ya kuomba hela wanaandika specs za hizo hapo ila kinachoagizw ni scania 113 π€£π€£π€£Ufisadi Ukikoma haya madude yatakwepo na maji yatapatikana.
Mnunue na vifaa vya kuendana na ukuaji wa miji na majengo ya kisasa.
View attachment 2768444
Hee, umeniwahi, yaani fremu za biashara alafu eti kuna NEMC?
Hii nchi nakwambia atafutwe mtoto wa MAGUFULI AONGOZE tu.
Kituo cha mafuta kinajazwa maduka? hivi moto ukitokea siku za kazi pale si mauaji ya halaiki?
Napendaga unavotema madiniCCM inachoweza ni wizi wa kura na kuitana kwenye madaraka na kukejeli wananchi.
Maswala mengi muhimu yanayogusa maslahi ya raia imeshindwa kuyatatua. Swala la zimamoto ilikuwa ni ishu ya kununua gari za kutosha zikae kila mtaa.
Habari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.
View attachment 2768279
View attachment 2768304
View attachment 2768357
Mungu wangu hakuna vifo na majeruhi kweli hapo?Habari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.
View attachment 2768279
View attachment 2768304
View attachment 2768357
Duh jmnNa umewashwa weekend mana wazimaji wanakula bata na wengine ibadani
Kuna Mkinga mmoja anataka kupanunuaKwa wenyeji wa Kariakoo hilo ni wazi kabisa tukio la kupangwa.
Hapo mnadani kuna ugomvi na mvutano wa miaka, watu wanarithishana uongozi kama ufalme.
Ulitaka watu wafe?Kwanini uwake jumapili sasa
Kazime weweMoto unawaka lisaa na hakuna dalili ya kuuzima.kweli nchi hii
Kwa mbarikiwa hakuna kitu simtetei Kwa Hilo ameyataka mwenyeweSubiri sasa utaona
ππππππ₯πΌWamemfunga Mbarikiwa sasa ngoja uone Mkono wa Mungu wa Israel
Tatizo ni siasa na wanasiasaAcha uwake tu tena uwake uunguze vitu. Yaani kariakoo ni eneo la kijinga sana hakuna mpangilio wa kitu chochote, siyo maduka makubwa wala machinga, yaani siku ikitokea fujo watu watakufa sana. Nashauri serikali iwafukuze chinga wote wanaopanga barabarani waondoke kariakoo iwe safi
Pale hakuna soko ni maduka ya watu binafsiWatu washapiga pesa na kuiba ,wanaunguza soko kupoteza ushahidi ,,mjin Shule ...
Bima za afya zenyewe hadi mtu azidiweMbongo na bima wapi na wapi! Hata hizi 3rd party za magari tunakata kwasababu tu ni lazima!
Moto umeanzia mnadaniPale bigbon kile kituo cha mafuta mwenyewe amekivunja sijui anataka kukiamisha, nafikiri shida imeanzia hapo
Moto umeanzia mnadani na sio hapo ma ndo maana benki haijaguswa na moto, pia benki hazikai na pesa, pesa hupelekwa makao makuu na kurudishwa asubuhiNaona BOA Bank hapo chini...Hv huu sio mpango kweli wajanja wamesha piga mpunga BOA Bank then wanalipua moto waje kusema pesa ziliungua ama watu wapemepita nazo ktk harakati za kuuzima moto?...ama walishapiga kitamboooo
Sijui nawaza Nini Mimi...kichwa maji mimi
Kama viwanja havijapimwa wategemea nini?It is so sad tuna 60 yrs ya uhuru- akuna fire fighting water network si Dodoma ambapo mji mkuu upo wala Dar wala Arusha[emoji24][emoji24][emoji24]Bila haya makitu kwenye mitaa na barabara zetu Daima tutawalaumu fire dept kwani atupo makini na mipango miji yetu
Yatakiwa moto mkubwa utokeee kama ule wa Hawaii ili mji upangwe upya vizuriMiaka ya 80 Dar es salaam karibia yote ilikuwa ma network za maji kwa ajili ya kuzima moto! Mpaka manzese huko kulikuwa na hizi systems, pale kwenye gorofa za Urafiki kulikuwa na fire hydrants kila baada ya forofa moja! Nimetembelea Kigamboni kule kwenye miradi ya nyuma sijaona fire hydrants. Ata Kule Nungwi Zanzibar , Arusha sijaona, Dodoma pia sehem nyingi sijaona- Tanzania tutaendelea kufirisiwa na Majanga ya Moto mpaka pale tutakapo kuwa makini na mipango miji iliyokuwa sahihi