Karibu asilimia 70% ya maswali ya baadhi ya waandishi wa habari Bongo ni ya ovyo; nina wasiwasi na ubora wa vyuo vya habari

Bongo hakuna waandishi wa habari kuna wavamia fani.
 
Hakuna namna ndio upande tuliochagua ndio maana hata ukiangalia kwenye Baraza unakuta watu wa hivyo hivyo, maendeleo ni process ndefu yenye hatua nyingi ngumu..
Yaan watu wa hovyo ndiyo tunaowategemea kutuvusha
 
Niliachana na media za Tanzania yapata mwaka wa Saba Sasa nilihamia bbc, CNN, Aljazeera, CBS, fox news , NHK Japan ,nk
Tbc,itv,chanel 10, zilishanishinda kitambo sana
 
Waandishi wengi wa Sasa hawana taaluma ya uandishi kabisaa ukiingia kwenye hivi vionline tv ndiyo bure kabisaaaa

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…