Karibu tena JF member "National Anthem", natumai wewe na familia yako mtapona haraka katika hili

Umetoa maoni yako kama vile wewe ndo uko sahihi kwamba unamshangaa yeye kafiwa na mapacha na anatamba, kuingiza maoni yako kwenye maisha ya mtu ndo kumpangia mtu maisha kwenyewe huko
Kwahiyo acha kupangia watu maisha
Sasa kama kila maoni ya mtu hayafai chukua yako kaa nayo hukohuko kijana ......wewe unipangie mimi nisipangie watu? 😅😅😅 maajabu haya
Achana na maisha yangu
 
Welcome again
 
You nailed it man! Mavi-jana ya kitanzania yamekuwa ya hovyo hovyo sana!👍🏿👍🏿
 
Ila yanakuwasha washa kupitia comments za mawazo yangu?? 😂 acha shobo kijana
Huna maisha wewez, Mungu hawezi kukupa maisha na Chuki kwa Wakati mmoja, wewe umepewa chuki niambie niache kuingilia chuki zako na siyo maisha, maisha utayatoa wapi we recruit wa kichawi?
 
Ila watu wa ajabu sana aisee, nimesoma comment za watu wanashangaza sana. Kwahiyo kama ni week imepita toka afiwe na watoto wake hapaswi kuendwlea na maisha mengine? Kwahiyo rafiki yake@Intelligent businessman hapaswi kumfariji na kumkaribisha tena?.
Na watu wazima kabisa wanaamini eti ni uchawi wa kuanika mambo kwa social media ndio umeondoa uhai wa malaika wetu?? Tena JF ambayo tupo anonymous?? You guys should grow up.
rubii Binadamu wanatofautiana mpendwa kwenye ku-grieve wengine kulia ndio ahueni, wengine hawatalia, wengine kusocialize ndio kunampa ahueni ila haimaanishi kwamba hajaumia na msiba. And also you cant grieve forever inafika muda unamshukuru Mungu na kuwaombea tuu.
 
MImi sijakataa rafiki rudi kasome tena comment yangu huko juu.
Halafu kama binadamu tunatofautiana basi iwe hivyo kwenye mitazamo yetu pia.
Mimi wewe na yule kila mtu atazame kivyake na kila mtu ajali mtazamo wake binafsi bila kushangaa uajabu wa mitazamo ya wengine ASANTE.
 
Nimeisoma comment yako, umesema ilichukua miaka wewe kumuomboleza kijana wako but looks like unamshangaa National anatamba huku na kule. Ndio nikakwambia watu wanatofautiana kuomboleza. Unaweza kuta kaja Jf kutoa mawazo sio kwamba kamaliza kuomboleza.
 
My dear watu hutofautiana sawa kubali kutofautiana kimawazo pia na iwe sawa
 
Huna maisha wewez, Mungu hawezi kukupa maisha na Chuki kwa Wakati mmoja, wewe umepewa chuki niambie niache kuingilia chuki zako na siyo maisha, maisha utayatoa wapi we recruit wa kichawi?
Sawa kijana niache na chuki zangu na uchawi mwingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…