Karibu tukujengee hii nyumba ya chumba kimoja kwa mkopo

Karibu tukujengee hii nyumba ya chumba kimoja kwa mkopo

oya wazee wa kataa ndoa na 3some tujichangishe basi tupate gheto letu safi kwa ajili ya wikend. mie nipo tayari kuwapa kiwanja. tufanye fasta fasta basi mwenzenu nimebakiza miaka miwili tuu ya kuishi.

bro sasa hi 28mil maana yake nahamia na begi langu asu sio?
Nikajua kiwanja kiko Ndani ya hiyo mil 28🤔🤔
 
MKOPO MKOPO wa ujenzi,
Nyumba hii inasifa zifuatazo.

Chumba kimoja kikubwa chenye washroom, sitting room kubwa,kitchen na public washroom.

Nyumba hii ni maalum kwa vijana wanaoanza maisha au kwa wanaojenga nyumba zakupangisha ni nzuri sana na haina gharama kubwa.

Gharama yake ni kiasi cha shiling million 28,000,000 tu mpaka finishing,Nyumba inakua na kila kitu kinachoitajika,maji,umeme,rangi ndani na nje,tiles,madirisha ya aluminum nk.

Namna ya malipo kwa Nyumba hii nikama ifuatavyo.

📍Malipo ya awali huanza na 30%=8,400,000

📍Deni 19,600,000

📍Mrabaha ni 10%=1,960,000

📍Jumla ya deni litakuwa 21,560,000

📍Muda wa marejesho ni miaka 4 Sawa na miezi 48.

📍Rejesho kwa mwezi litakuwa ni 449,000

Muda wakukabidhi Nyumba ni miezi sita tu.

VIGEZO;-
Uwe Mtanzania
Uwe na kiwanja chenye hati au nyaraka ya mauziano.

Kwa maelezo zaidi tembelelea office zetu zilizopo kitunda
0743257669
Nitafute whatsappView attachment 3226242
Nikuoneshe kuwa kujenga nyumba siyo
Nyumba inajengwa kwa million 28; kodi ya hiyo nyumba haiwezi kuwa zaidi ya laki mbili kwa mwezi. Hela itarudi baada ya miaka 12.

Nyumba lazima ifanyiwe ukarabati kila baada ya miaka angalau 3.

Ukinunua Bond hiyo hela kila mwezi utapata 280,000 na hela yako ipo pale pale 28M.

Vijana situka
 
MKOPO MKOPO wa ujenzi,
Nyumba hii inasifa zifuatazo.

Chumba kimoja kikubwa chenye washroom, sitting room kubwa,kitchen na public washroom.

Nyumba hii ni maalum kwa vijana wanaoanza maisha au kwa wanaojenga nyumba zakupangisha ni nzuri sana na haina gharama kubwa.

Gharama yake ni kiasi cha shiling million 28,000,000 tu mpaka finishing,Nyumba inakua na kila kitu kinachoitajika,maji,umeme,rangi ndani na nje,tiles,madirisha ya aluminum nk.

Namna ya malipo kwa Nyumba hii nikama ifuatavyo.

📍Malipo ya awali huanza na 30%=8,400,000

📍Deni 19,600,000

📍Mrabaha ni 10%=1,960,000

📍Jumla ya deni litakuwa 21,560,000

📍Muda wa marejesho ni miaka 4 Sawa na miezi 48.

📍Rejesho kwa mwezi litakuwa ni 449,000

Muda wakukabidhi Nyumba ni miezi sita tu.

VIGEZO;-
Uwe Mtanzania
Uwe na kiwanja chenye hati au nyaraka ya mauziano.

Kwa maelezo zaidi tembelelea office zetu zilizopo kitunda
0743257669
Nitafute whatsappView attachment 3226242
Upuuzi.mtupu
 
MKOPO MKOPO wa ujenzi,
Nyumba hii inasifa zifuatazo.

Chumba kimoja kikubwa chenye washroom, sitting room kubwa,kitchen na public washroom.

Nyumba hii ni maalum kwa vijana wanaoanza maisha au kwa wanaojenga nyumba zakupangisha ni nzuri sana na haina gharama kubwa.

Gharama yake ni kiasi cha shiling million 28,000,000 tu mpaka finishing,Nyumba inakua na kila kitu kinachoitajika,maji,umeme,rangi ndani na nje,tiles,madirisha ya aluminum nk.

Namna ya malipo kwa Nyumba hii nikama ifuatavyo.

📍Malipo ya awali huanza na 30%=8,400,000

📍Deni 19,600,000

📍Mrabaha ni 10%=1,960,000

📍Jumla ya deni litakuwa 21,560,000

📍Muda wa marejesho ni miaka 4 Sawa na miezi 48.

📍Rejesho kwa mwezi litakuwa ni 449,000

Muda wakukabidhi Nyumba ni miezi sita tu.

VIGEZO;-
Uwe Mtanzania
Uwe na kiwanja chenye hati au nyaraka ya mauziano.

Kwa maelezo zaidi tembelelea office zetu zilizopo kitunda
0743257669
Nitafute whatsappView attachment 3226242
Utaperi huu,nyumba na kiwanja baada ya miak 4,vinarudi kwenu tena. CHAMBO KWENYE NDOANO
 
Una kampuni yako au ni fundi Michael? Nimeuliza sababu nipo interested
Nina nyumba zangu najenga kwa gharama hiyo, mbezi kimara. Naongea for experience. Najenga kwa gharama hiyo appartment zangu. Nina mafundi wangu. Mimi sio kampuni.
 
Back
Top Bottom