Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya Kidato cha Sita 2020

Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya Kidato cha Sita 2020

Nina dogo langu kamaliza form six na alisoma CBG je ni course gani ya sayansi ambayo anaweza kusoma ili akimaliza atoke na ujuzi kichwani mbali na uhakika wa ajira. Ufaulu wake ni div 2 ya 11 yaani D flat.

Naomba kuwasilisha.
 
Wakuu Mimi nimemaliza Kidato cha Sita mwaka huu kwa mchepuo wa CBG Kwa kupata CHEMISTRY E, BIOLOGY E na GEOGRAPHY D Ivi naweza KUCHAGULIWA kujiunga na chuo chochote au nirudie MTIHANI na kama nikichagua kurudia nirudie masomo yapi?

Ndiyo unaweza kutuma maombi na kujiunga na mafunzo ya stashada(Diploma) bahati mbaya hujafikia points za kujiunga na mafunzo kwa ngazi ya degree. Usife moyo kama lengo ni kuwa na degree maliza Diploma ukiwa na GPA ya 3.0 then utakuwa na sifa za kujiunga na degree. Alternatively unaweza kujiunga na Foundation course ya Open University kwa mwaka mmoja ukifaulu kwa GPA ya 3.0 unaweza kujiunga na degree.
 
Kwa matokeo haya huyu mtu anaweza soma microbiology au bachelor of science in molecular biology and biotechnology pale udsm
Chem D
Bio D
Geo C
Bam S
Gs D
 
Mkuu jaribu kuapply kwamaana Kuna watu mwaka uliopita ninawafahamu kabisa wamepita kwa ufaulu huo, lakini kikubwa angalia na kozi unazoapply.

Cha kukutia moyo Ni kua unapoapply jaribu kuapply na foundation course ili kwamba ukikosa bachelor uende hiyo na ukifanya vizuri mwakani unajiunga kupiga degree yako Kama kawaida boss.
 
Hello wakuu
Mm nimehitimu kidato cha sita mwakahuu kwa combination ya PCB
Matokeo yangu yamenikata maini kwakwel
NINA DDE physics ndio imeniungusha kabisa
Sasa kiukweli hapa nilipo nipo njia panda
Napenda kusoma kozi za afya ila kutokana na ufaulu wangu ww kama mzoefu unaweza ukanishauri niwapi nipite ili niweze kufikia mafanikio.
Je naweza nika anza na diploma ya clinical officer au kuna njia mbadala asanteni!! Ambayo ni nuzri zaidi sitaki kurudia mtihani!!
 
Mkuu jaribu kuapply kwamaana Kuna watu mwaka uliopita ninawafahamu kabisa wamepita kwa ufaulu huo, lakini kikubwa angalia na kozi unazoapply.

Cha kukutia moyo Ni kua unapoapply jaribu kuapply na foundation course ili kwamba ukikosa bachelor uende hiyo na ukifanya vizuri mwakani unajiunga kupiga degree yako Kama kawaida boss.
ushauri mzuri
 
Kwa matokeo haya huyu mtu anaweza soma microbiology au bachelor of science in molecular biology and biotechnology pale udsm
Chem D
Bio D
Geo C
Bam S
Gs D
Sifa anazo,

Lakini sikushauri uombe Udsm itakula kwako 100%

Na itakufanya urudie app 2nd round

Sababu,ni competition na capacity
 
Nina dogo langu kamaliza form six na alisoma CBG je ni course gani ya sayansi ambayo anaweza kusoma ili akimaliza atoke na ujuzi kichwani mbali na uhakika wa ajira. Ufaulu wake ni div 2 ya 11 yaani D flat.

Naomba kuwasilisha.
Usimshauri kabla hajakuambia anachotaka kusomea,

Akikuambia ndio umshauri,

Passion first every thing will fall in to place
 
Olevel umesoma sayansi,A level umesoma madudu mengine,history,!!!HV huwa mmelogwa au?unapokuwa kidato cha pili,unatakiwa uwe unajua,utasoma masomo gani,kidato cha tatu,na unataka uwe nani huku duniani, dakitari, Muhandisi, Mtaalamu wa kilimo, ICT, Mwanasiasa, Mwalimu, Mwanasheria, nk, sasa ukipelekwa na upepo wa matokeo,inakuwa umepoteza muda,sasa wewe unataka kusoma IT,wakati kidato cha sita hukusoma sayansi!kwahiyo inabidi ukatumie cheti cha form four,sasa miaka miwili ya A level,siimepotea bure,,baada ya kumaliza form four, ungeenda DIT, ungepiga, diploma, miaka miwili, then unaunganisha mitatu tena sasa HV, ama ungekuwa unasoma bachelor In Engineering,au ungekuwa kazini,unalipwa mshahara.

Sie Anko zenu,tumemaliza form four 99,kulikuwa hakuna mitandao ya kijamii,no mobile phones,no smart phones,lakini tulijitaidi kupata taarifa,za kutosha ni nini tunataka maishani na nini tusome,sasa Leo kila kitu kipo,information on ur fingertips,!!!mnafeli wapi?!!!inakuwa kama mnasoma kama vipofu,mkigonga ukuta ndio mnajua mmefika,
Mimi niliamua kuwa nataka kuwa engineer nikiwa kidato cha pili.

Na niliihapa lazima nisome UD nikiwa darasa la saba,nilivutiwa na matamasha,ya siku ya mtoto was afrika yaliyokuwa yakifanyika UD ukumbi wa nkuruma.
Jinsi unavyotiririka napata wasiwasi na hiyo degree yako ya UD!!
 
Back
Top Bottom