KingsStore
Member
- Feb 22, 2023
- 73
- 105
- Thread starter
- #121
Siwezi BossA14 gb64 mia 300k unakula?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi BossA14 gb64 mia 300k unakula?
S22 ultra kwa dar ni bei gani kwasas?Jichange uone utamu wa S22 Ultra / S23 Ultra
GB 128 Dual line (line mbili) 1,850,000S22 ultra kwa dar ni bei gani kwasas?
A03 mia 2 unakula?Siwezi Boss
Sina bossAir cooler
A03 core utapata A 03 hapana kwaiyo bei bossA03 mia 2 unakula?
Ni mpya au used?GB 128 Dual line (line mbili) 1,850,000
Single line GB 256 1.9 M karibu sana [emoji1666] 0682400906
mkuu unanikaba kila kona.A03 core utapata A 03 hapana kwaiyo bei boss
Boss tunauza simu mpya na used mteja atakapo lipia fedha ya simu mpya tunampatia mpya akilipia used tunampa used hatuhusiki na mchakachuo yapo maduka yanayouza copy na bei zake ni tofautiNi mpya au used?
Na jee kama Ni mpya nitajuaje kama ndio wenyewe na sio mchakachuo?
Kwa upande wa google pixel battery capacity kubwa ni kwanzia 6 ila haina maan hizi nyingine hazikai na chaji.google pixel 3a XL ni nzur sema battery wamezingua inhekiwa hata na 4000 ingekuwa makin
Karibu Dukani tupo Kariakoo nyuma ya jengo la China plaza. ☎️ 0682400906mkuu unanikaba kila kona.
nataka simu campuni yoyote ila iwe ya 4G,4Ram,battery over 4500amp na iwe na cortex ya 75,. hata ikiwa used bei 200k mpaka 270k😁
matumiz yangu ya simu ni makubwa mkuiKwa upande wa google pixel battery capacity kubwa ni kwanzia 6 ila haina maan hizi nyingine hazikai na chaji.
Mtandao kazi yake ndo hii, tuelewane hapa hapa wachia kkooKaribu Dukani tupo Kariakoo nyuma ya jengo la China plaza. ☎️ 0682400906