Karibu ujipatie Bidhaa za kielectronic simu, PC, Tablet, Fridge, Sabufa na Tv kwa uaminifu mkubwa

Karibu ujipatie Bidhaa za kielectronic simu, PC, Tablet, Fridge, Sabufa na Tv kwa uaminifu mkubwa

GB 128 Dual line (line mbili) 1,850,000
Single line GB 256 1.9 M karibu sana [emoji1666] 0682400906
Ni mpya au used?

Na jee kama Ni mpya nitajuaje kama ndio wenyewe na sio mchakachuo?
 
google pixel 3a XL ni nzur sema battery wamezingua inhekiwa hata na 4000 ingekuwa makin
 
Ni mpya au used?

Na jee kama Ni mpya nitajuaje kama ndio wenyewe na sio mchakachuo?
Boss tunauza simu mpya na used mteja atakapo lipia fedha ya simu mpya tunampatia mpya akilipia used tunampa used hatuhusiki na mchakachuo yapo maduka yanayouza copy na bei zake ni tofauti
 
mkuu unanikaba kila kona.
nataka simu campuni yoyote ila iwe ya 4G,4Ram,battery over 4500amp na iwe na cortex ya 75,. hata ikiwa used bei 200k mpaka 270k😁
Karibu Dukani tupo Kariakoo nyuma ya jengo la China plaza. ☎️ 0682400906
 
Back
Top Bottom