Karibu ujipatie Bidhaa za kielectronic simu, PC, Tablet, Fridge, Sabufa na Tv kwa uaminifu mkubwa

Karibu ujipatie Bidhaa za kielectronic simu, PC, Tablet, Fridge, Sabufa na Tv kwa uaminifu mkubwa

Natumia tecno camon 16s mwaka wa 3 sasa na napata internet speed 4G, rom 128Gb na ram 4.

kamera kali, chaji inatulia sana

kabla hujajifungia kwenye gereza la Iphone, waza kuhusu autoparts za simu yako, vingapi utakosa kwa wenzio ukiwa na hayo masimu😂😂
 
Natumia tecno camon 16s mwaka wa 3 sasa na napata internet speed 4G, rom 128Gb na ram 4.

kamera kali, chaji inatulia sana

kabla hujajifungia kwenye gereza la Iphone, waza kuhusu autoparts za simu yako, vingapi utakosa kwa wenzio ukiwa na hayo masimu😂😂
🤣🤣
 
Ipo tajiri Karibu sanaaa 0682400906
kwa mimi ninaetaka kuhama kutoka infinix ambayo uwezo wake ni RAM 2.00GB, ROM 32.00GB, CAMERA 13M DUAL, BATTERY 6000mAh

Ni aina ipi ya Samsung itanifaa ambayo itakuwa na uwezo mzuri wa kutunza chaji, camera nzuri na uwezo mkubwa wa kutunza kumbukumbu?

Maana nilishanunua samsung ndani ya siku mbili tu ikanishinda, haitunzi chaji, camera mbovu na mambo mengine ambayo ni ya hovyo sikuyaelewa elewa yalinifanya nirud dukan nikanunue infinix nyinginge

Je ninunue Samsung gan itakayonifanya nisitamani kurudi infinix?
 
kwa mimi ninaetaka kuhama kutoka infinix ambayo uwezo wake ni RAM 2.00GB, ROM 32.00GB, CAMERA 13M DUAL, BATTERY 6000mAh...
Kwa samsung ambazo zinakaa na chaji kwa muda mrefu ni A series kwaiyo wew unaweza kuchagua kwanzia A 13 mpak A 72 maelekezo zaidi 0682400906 whats app
 
IMG_3114.jpeg
 

Attachments

  • IMG_3113.jpeg
    IMG_3113.jpeg
    45.7 KB · Views: 9
  • IMG_3112.jpeg
    IMG_3112.jpeg
    22.1 KB · Views: 10
Back
Top Bottom