Karibu ujipatie Bidhaa za kielectronic simu, PC, Tablet, Fridge, Sabufa na Tv kwa uaminifu mkubwa

Karibu ujipatie Bidhaa za kielectronic simu, PC, Tablet, Fridge, Sabufa na Tv kwa uaminifu mkubwa

shot on pixel 3 xl
PXL_20230321_063630067.PORTRAIT.jpg
 
Pixel,, iPhone na samsung zote ni simu nzuri ila kila moja ina ubabe wake na udhaifu wake kwenye sekta nzima ya picha na inategema haswa unapendelea picha za aina gan

Pixel
pixel ni simu kali sana na zimekua mbabe kwenye upande wa picha za usiku, potrait mode, audio quality kwenye video, pamoja na video stablization. ila udhaifu wa pixel ni kwenye ultra wide camera, heating ukirekodi 4K, pamoja macro lens yao ni ndogo

iPhone
iPhone ni simu nzuri kweny upande wa picha za potrait na ultra wide ila zina changamoto kwenye zoom, picha za usiku, audio quality pamoja na video stablization haijafikia kwenye kiwango cha pixel

SAMSUNG
ni simu nzuri pia iliyojitahd kufanyia kazi kapungufu ya makampuni mengine ya simu kwenye swala zima la storage, zooming,,audio quality, night shots, stablization, potrait and battery unaporekodi videos

N.B huo ni mchujo tu wa baadhi ya sifa ambazo zinapatikana kuanzia, pixel 4xl, galaxy note 10, s10 na iPhone xr na kupanda juu but kila toleo lina madhaifu yake na ubabe wake, jivunie ulichonacho
 
Pixel,, iPhone na samsung zote ni simu nzuri ila kila moja ina ubabe wake na udhaifu wake kwenye sekta nzima ya picha na inategema haswa unapendelea picha za aina gan

Pixel
pixel ni simu kali sana na zimekua mbabe kwenye upande wa picha za usiku, potrait mode, audio quality kwenye video, pamoja na video stablization. ila udhaifu wa pixel ni kwenye ultra wide camera, heating ukirekodi 4K, pamoja macro lens yao ni ndogo

iPhone
iPhone ni simu nzuri kweny upande wa picha za potrait na ultra wide ila zina changamoto kwenye zoom, picha za usiku, audio quality pamoja na video stablization haijafikia kwenye kiwango cha pixel

SAMSUNG
ni simu nzuri pia iliyojitahd kufanyia kazi kapungufu ya makampuni mengine ya simu kwenye swala zima la storage, zooming,,audio quality, night shots, stablization, potrait and battery unaporekodi videos

N.B huo ni mchujo tu wa baadhi ya sifa ambazo zinapatikana kuanzia, pixel 4xl, galaxy note 10, s10 na iPhone xr na kupanda juu but kila toleo lina madhaifu yake na ubabe wake, jivunie ulichonacho
ila ukiniambia kati ya pixel, samsung na iPhone ntakuambia pixel ni chaguo bora kama lengo lako ni kupata picha kali, iPhone kama unataka video zenye quality nzuri, samsung kama unataka vyote
 
Habar za wakati huu wakuu nimependa kupata mawazo yenu pia juu ya sifa unazozingatia ili uweze kununua simu au kifaa kingne cha mawasiliano

Tunauza simu zote kwa bei nafuu sana ulizia sim yoyote pia kam unachangamoto kwenye simu yako hapa utapata ufumbuzi kwa watumiaji wa iphone top up na exchange Ruksa tunapatikan Kariakoo mtaa wa Aggrey na Likoma nipo kukujibu asante
0682400906
 
Huwa nazingatia yafuatayo;
1. Bajeti, sio nna laki mbili nitake simu ya laki tano....
2. Reviews, simu hata sifa zake zivutie vipi lazima nisome machapisho ya waliozitumia
3. Brand yake, mtengenezaji ni mhimu sana, kuna watengezaji hawaaminiki leo anatoa kitu kizuri kesho anachemsha, hao waepuke
4. Maisha ya hicho kifaa, kuna vifaa vizuri ila havina maisha marefu na kuna vifaa og unatumia mda kidogo hivyo inategemeana na lengo
5. Hadhi, kuna vifaa vyenye hadhi hata ukitaka kuuza husumbuki mfano samsung
6. Spare, kuna vifaa havina spare hapa nchini mpaka uagize nje na mafundi hawaviwezei vizuri
7. Uzoefu, kama nina uzoefu na kumpuni yenye huduma nzuri ntanunua hiyo sio kwenda na kila kampuni mpya inayozuka
Reuben Challe
 
Huwa nazingatia yafuatayo;
1. Bajeti, sio nna laki mbili nitake simu ya laki tano....
2. Reviews, simu hata sifa zake zivutie vipi lazima nisome machapisho ya waliozitumia
3. Brand yake, mtengenezaji ni mhimu sana, kuna watengezaji hawaaminiki leo anatoa kitu kizuri kesho anachemsha, hao waepuke
4. Maisha ya hicho kifaa, kuna vifaa vizuri ila havina maisha marefu na kuna vifaa og unatumia mda kidogo hivyo inategemeana na lengo
5. Hadhi, kuna vifaa vyenye hadhi hata ukitaka kuuza husumbuki mfano samsung
6. Spare, kuna vifaa havina spare hapa nchini mpaka uagize nje na mafundi hawaviwezei vizuri
7. Uzoefu, kama nina uzoefu na kumpuni yenye huduma nzuri ntanunua hiyo sio kwenda na kila kampuni mpya inayozuka
Reuben Challe
Boss upewe maua yako 🙌🏻🙌🏻🙌🏻 Umetisha snaa
 
Huwa nazingatia yafuatayo;
1. Bajeti, sio nna laki mbili nitake simu ya laki tano....
2. Reviews, simu hata sifa zake zivutie vipi lazima nisome machapisho ya waliozitumia
3. Brand yake, mtengenezaji ni mhimu sana, kuna watengezaji hawaaminiki leo anatoa kitu kizuri kesho anachemsha, hao waepuke
4. Maisha ya hicho kifaa, kuna vifaa vizuri ila havina maisha marefu na kuna vifaa og unatumia mda kidogo hivyo inategemeana na lengo
5. Hadhi, kuna vifaa vyenye hadhi hata ukitaka kuuza husumbuki mfano samsung
6. Spare, kuna vifaa havina spare hapa nchini mpaka uagize nje na mafundi hawaviwezei vizuri
7. Uzoefu, kama nina uzoefu na kumpuni yenye huduma nzuri ntanunua hiyo sio kwenda na kila kampuni mpya inayozuka
Reuben Challe
Comment yako imemaliza kila kitu mkuu [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kwa wale wapenzi wa laptop

HP ProBook
Proccesor: AMD A6 with Radeon hd graphics 2.7GHZ
RAM 4GB
HDD 500GB
Display 15.6
DVD Writter
CAMERA
Battery 3hrs
price 280k
Phone no
0626209855
0676181677 WhatsApp
images%20(1)~2.jpg


Sent from my TECNO CE7j using JamiiForums mobile app
 
Huu uzi maalumu kwaajili ya kuwapa ufahamu watu wengine juu ya ubora wa simu tofauti tofaut tuambie ipi ni simu yako bora zaidi kati ya SAMSUNG, GOOGLE PIXEL, IPHONE NA OPPO na Kwanini kwako ni simu bora 😊

TUNAZO GOOGLE PIXEL,IPHONE NA SAMSUNG USED NA MPYA BEI ZETU NI RAFIKI SANA 😊

TUNAPATIKANA KARIAKOO MTAA WA AGGREY

0682400906
 
Back
Top Bottom