KingsStore
Member
- Feb 22, 2023
- 73
- 105
- Thread starter
- #21
Asante kwa ushauri boss nalifanyia KazišWeka picha na bei tukupunguzie maswali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa ushauri boss nalifanyia KazišWeka picha na bei tukupunguzie maswali.
Mawasiliano yako plsUtaipata kwa 185k boss wangu
0682400906Mawasiliano yako pls
Watu wenyewe ndio sisi au?Ngoja tusubiri tuone mwisho watu wataleta mrejesho gani
Chagia bakuli hapo nusu bei. Jamaa kasema 1.6 anaachia iPhone 13 nivimbe mtaani.Nimefika. Kuna habari gani braza šš
Muite aje tutop upChagia bakuli hapo nusu bei. Jamaa kasema 1.6 anaachia iPhone 13 nivimbe mtaani.
Tutanunua mwakani aisee.. Ngoja michongo ikae š¤£š¤£Muite aje tutop up
Au hiyo biashara kichaa isifanyike š
Bei sio siri boss bei zetu ni rafiki sanaaaššView attachment 2598827mfano hii tunauza 230 full boxed kabisaa
Naomba tuwasiliane kwa whats up boss wangu 0682400906 unawez kunipigia pia kwa namba hiyo hizo sim zipo dukani tunazo asante na karibuInfinix Hot 12 Play...!
Napatikana Kariakoo boss Wangu mtaa wa Aggrey 0682400906 Nauza kwa bei nafuu sana naagiza mwenyew kutoka nje boss karibu sanaIphone ni balaa tupu bab'ke
Kwa hiyo mkuu upo unauza hizo bidhaa,,,unapatikana wapi!