Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ubebe p za kutosha 😂Ila halifiki la Njombe.
Nilienda Njombe almanusura nife.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubebe p za kutosha 😂Ila halifiki la Njombe.
Nilienda Njombe almanusura nife.
Aisee kweli uchawi upo.Vyote kwa pamoja, yaani unasahau kabisa, na hata ukikumbuka ni kwa muda mchache sana na hayo mawazo yanafutika.
Mjengo wako mzuri, hongera sana.
Sikia tu ila omba yasikukute mkuu, haya mambo yapo sana. Sio kila mtu ni mwema.Aisee.
Ndio nasoma hapa.
Sasa si hatari sana.
Ila mtu unaweza kuacha kukumbuka nyumba yako kweli?
Sidhani bhana
Hakuna shida kipenzi ❤️Weee!!!
Kumbe uko huko?
Nakuja mdogo wangu.
Mnipokee na mnitoe kamba mguuni mwaya!
Mzima dada naomba tamu 😋😋😋Poa kabisa
Mzima wewe?
Acha kabisa.Aiseeee
Mpaka naogopa
Ina eneo la ukubwa (sqm) gani?Aisee kweli uchawi upo.
Asante sana kaka.
Ningepata pia mzoefu wa uuzaji nyumba angeweza kukisia ni kiasi gani kuuzika.
Inasikitisha sana kwa kweli ila ndio hivyo binadam ubaya ubwelaHapo wengi wamelia.
Mimi siwezi fanya ujinga huo, bora likae boma.
Wamiliki wamegeuzwa watumwa kwenye mali zao. Kila siku mahakamani.
Na wengine wanaishia kuokota makopo.
37ml ikiwa complete bila kiraka kwa hapoAisee kweli uchawi upo.
Asante sana kaka.
Ningepata pia mzoefu wa uuzaji nyumba angeweza kukisia ni kiasi gani kuuzika.
🤭Hakuna shida kipenzi ❤️
nitalipia Mimi gharama za kuishi yeye hapo ,ki mtafuteSawa, ila akija kuishi hapa si gharama zote zitakuwa juu yangu?
Auu inakuwaje kuwaje?