Kweli kabisa, wewe umemaliza.Kufanikiwa na akili ya mtu lakin pia kw utafit wangu mdogo wengi waliofanikiwa japo sio wote waliamua kuoa au kuolewa na wenza ambao sio walimu so kukawa na balance ya kupata muda wa kusimamia miradi waliyoanzisha
Utumishi watuambie ni watumishi wangapi wanapangwa kazi hawendi na hizo nafasi zao zinajazwaje au hao watanzania huko walikotakiwa kuhudumiwa wanaachwaje! maana kusema haya ninafahamu watu kadhaa hawakwenda walikopangwa Bora hata wewe umefanya miaka michache unarudi mjini.Nina miaka miwili tu, lakini sioni nikikaa kabisa, kwa kujua ilo nimefanya vitu ambayo senior niliowakuta hawajafanya mzee, nafanya maandalizi ya kuondoka na kurudi mjini.
Hiyo million 18 unakopa miaka 9 mzee, utasugua viatu mpaka ukome.Duh 18M?
Diploma holder wa TCB anakopa 35M baada ya kuthibitishwa kwa mkopo wa Mortgage kisha anaweza kukopa 60M miezi kadhaa baada ya kukopa hiyo 35M.
Kwahiyo huyu wa 18M anapoandikiwa maximum amount kukopa ni 200M na hawa NMB maana yake ni nini hapo?
Nadhani mtoa mada anaongelea hatua za maendeleo na kukua kiuchumi sio kuishi maana kuishi hata nguchiro, panya nk.. wanaishi.Wazee laki tano kwa mwezi nyingi sana watu tunaishi na 150,000 mpaka 200,000 kwa mwezi
So ni kama wanamaanisha total amount unayoweza kukopa ni 200M ila ndiyo wanaikata kata kiasi kidogo kwa mtindo huo?Hiyo million 18 unakopa miaka 9 mzee, utasugua viatu mpaka ukome.
Mkuu,depends na mshahara wa mtu..siyo kwamba watumishi wote wa serikali wanaweza kukopesheka mil 200. Hyo 200 ni maximum kwa wale waliopo kwenye vitengo vinono na wana mishahara mikubwa. Wewe unaye pokea laki 5 unawezaje kukopeshwa mil 200?So ni kama wanamaanisha total amount unayoweza kukopa ni 200M ila ndiyo wanaikata kata kiasi kidogo kwa mtindo huo?
Sahihi kabisa chief. Anyway, hii nimeuliza kwa kuzingatia nina acquaintance ambaye amekopa karibia 100M in 3 years wakati TAMISEMI anaambiwa anaweza kopa 200M in a lifetimeMkuu,depends na mshahara wa mtu..siyo kwamba watumishi wote wa serikali wanaweza kukopesheka mil 200. Hyo 200 ni maximum kwa wale waliopo kwenye vitengo vinono na wana mishahara mikubwa. Wewe unaye pokea laki 5 unawezaje kukopeshwa mil 200?
Hongera sana ππΎππΎππΎAsante mkuu, kwa upande wangu ni kutoka hapa na kusoma kada nyingine, au kujiajiri tu, nimeshaanza upande wa kujiajiri ninamiliki ekari nyingi , na kati ya hizo chache nimeanza kupanda zao la kudumu, mawazo ya kufanya yoote hayo nimeyapata baada ya kuona hali halisi kwenye kada hii,.
Duh,yeye mshahara wake ni kias gan kwa mwezi mkuu.Sahihi kabisa chief. Anyway, hii nimeuliza kwa kuzingatia nina acquaintance ambaye amekopa karibia 100M in 3 years wakati TAMISEMI anaambiwa anaweza kopa 200M in a lifetime
Mkuu,kusoma kada nyingine hakuwezi kukuletea hayo manufaa. Kujiajiri ndo best option,temana na ajira mazima. Be free,huku makazin unoko ni mwingi sana..Asante mkuu, kwa upande wangu ni kutoka hapa na kusoma kada nyingine, au kujiajiri tu, nimeshaanza upande wa kujiajiri ninamiliki ekari nyingi , na kati ya hizo chache nimeanza kupanda zao la kudumu, mawazo ya kufanya yoote hayo nimeyapata baada ya kuona hali halisi kwenye kada hii,.
Hii nimeona mkuu .
Fresh tu,tunajikongoja mkuuWalimu maaraufu humu ni To yeye na Evelyn Salt eti mna stress na maisha wakuu??? Vp hali ya mikopo?? Kazi ipo
π€£π€£π€£ππ₯Ίπ₯ππππͺ
πππ€£π€£π€£ππ₯Ίπ₯ππππͺ
Tunahali ngumu kwa kweli π₯΄ππ
Sio kwel ππTunahali ngumu kwa kweli π₯΄
Hajawahi nitajia exact figureDuh,yeye mshahara wake ni kias gan kwa mwezi mkuu.
Cha muhimu zaidi ni kuishi, hivyo vingine ni vurugu tuπΌNadhani mtoa mada anaongelea hatua za maendeleo na kukua kiuchumi sio kuishi maana kuishi hata nguchiro, panya nk.. wanaishi.