Karibuni kwenye Kazi ya ualimu, lakini usiwe na matarajio makubwa

Sure bro kidogo niwe mwalimu wa mambo ya afya nikatorokaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… karibu pombe hapa mkuu
Asante mkuu, najua utakua na simu yako unapiga mdogo mdogo huku unaburudika Jf 😊

Mimi mida mida ntapiga kidogo kutakatisha akili...wanaume lazima tutakatishe AKILI kwa mvinyo maana AKILI IKITAKATA..LAZIMA MWILI UNAWILI NA KUSTAWI.
 
Umeongea kweli, kila mtu duniani yupo na malengo yake kwa mfano Mimi sipendi kua chini ya mtu, na hii kazi lazima uwe chini ya watu, madharau n.k mpaka diwani, au mwenyekiti wa mtaa anaweza kukutukana na kukupelekesha.
Mwenyekiti wa mtaa wa wapi anayeweza kumpelekesha mwalimu? Labda huko Dar
 
Kufanikiwa na akili ya mtu lakin pia kw utafit wangu mdogo wengi waliofanikiwa japo sio wote waliamua kuoa au kuolewa na wenza ambao sio walimu so kukawa na balance ya kupata muda wa kusimamia miradi waliyoanzisha
unamaanisha walioa mama wa nyumban si ndio?
 
Kama umekosa matumaini wewe... na kanuni ya maisha hujaitunga wewe.. hivyo usikatishe watu tamaa na ukae kwa kutulia... wewe kama una amini hivyo sawa... ila usilazimishe mawazo au maoni yako yawe uhalisia
 
CCM hawathamini waalimu hata kidogo
 
Kama umekosa matumaini wewe... na kanuni ya maisha hujaitunga wewe.. hivyo usikatishe watu tamaa na ukae kwa kutulia... wewe kama una amini hivyo sawa... ila usilazimishe mawazo au maoni yako yawe uhalisia
Wewe ni mwalimu? Umeajiriwa? Au na wewe ni mmoja wao ambao hata nauli za kurudi nyumbani ni shida?
 
unamaanisha walioa mama wa nyumban si ndio?
Tafutaa anayejituma na mwenye maono hata kma mwanzo atakuwa mama wa nyumbani muongoze afanye nn na msimamie ukiweka hata bomba atakusaidia kuuza maji kuangalia bustani hata mashamba pia
Muhimu uwe na vision Mpe kazi na muongozo nn unataka. Wwotee mkiwa walimu kasheshe ujuaji mwingi muda hakuna hat biashara ya mtaji wa milioni 1 mtahitaji mfanyakzi
 
Mimi ndio nafanya hivi, sitaki mfanyakazi Bora nifungue biashara niwe nasupervise nikiwa na mke wangu, ni ngumu kutafuna mtaji woote wakati familia inateketea,
 
Wewe ni mwalimu? Umeajiriwa? Au na wewe ni mmoja wao ambao hata nauli za kurudi nyumbani ni shida?
Nilishawahi kukuomba nauli? Kama umekata tamaa ni wewe... pia mimi si mwalimu... lakini nawafahami waalimu wengi tu maisha yao mazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…