nmekuelewa sanaTafutaa anayejituma na mwenye maono hata kma mwanzo atakuwa mama wa nyumbani muongoze afanye nn na msimamie ukiweka hata bomba atakusaidia kuuza maji kuangalia bustani hata mashamba pia
Muhimu uwe na vision Mpe kazi na muongozo nn unataka. Wwotee mkiwa walimu kasheshe ujuaji mwingi muda hakuna hat biashara ya mtaji wa milioni 1 mtahitaji mfanyakzi
Tukafanya kazi TCBDuh 18M?
Diploma holder wa TCB anakopa 35M baada ya kuthibitishwa kwa mkopo wa Mortgage kisha anaweza kukopa 60M miezi kadhaa baada ya kukopa hiyo 35M.
Kwahiyo huyu wa 18M anapoandikiwa maximum amount kukopa ni 200M na hawa NMB maana yake ni nini hapo?
Sikia hakuna walimu wengi wenye maisha mazuri, ila ni mahangaiko tu, kama kula ni maisha mazuri basi sawa, Nina rafiki yangu ni mwalimu yupo daraja G, ana miaka 47, amekopa weee, salary slip inasoma laki Tano na sabini na nne ndio anapokea kama mshahara, vipi huyo na yeye ana maisha mazuri? Watoto wanne, wote wanasoma shule za kawaida tu, nawaambia vijana waingie bila expectation wataumia inabidi wajifunze, Nina miaka miwili kazini baada ya kuliona ilo mzee sijafurahishwa na maisha ya humu tulipo, sina mawazo kwasababu Nina project ya miaka 4 zaidi ya hekari 27, najua nitateseka kwa miaka hiyo Mungu akinibariki siwezi kubaki humu.Nilishawahi kukuomba nauli? Kama umekata tamaa ni wewe... pia mimi si mwalimu... lakini nawafahami waalimu wengi tu maisha yao mazuri
Makasiriko ya nini ndugu,ualimu ni kazi ngumu na ambayo Haina shukurani ,km hujawahi Fanya kazi zenye pesa na hazina kusaini daftari kama mwanafunzi,utaisifia hiyo kazi ya ualimu,kutoboa kwenye kazi ya ualimu ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindanoNilishawahi kukuomba nauli? Kama umekata tamaa ni wewe... pia mimi si mwalimu... lakini nawafahami waalimu wengi tu maisha yao mazuri
Huna akili, pumbavu kaa chini shenz kabisa.Wakubwa wanaongea wewe unapiga kelele hovyo.Bladiful!!!Hivi ni nani alikupa kibali ukataze wengine kuwa na matarajio makubwa?. Hii misemo mingine ni ya kimalaya malaya
wewe kula kulala kwa shemeji kaa kwa kutulia wakubwa wakiwa wanaongea.Kufanikiwa maisha ni akili ya mtu kwani hakuna hao TRA ambao ni choka mbaya maendeleo uletwa na fikra na sio kipato
📌muache huyo ni Sr wako kakuzidi kila kitu.Mkuu wewe Una miaka mingapi kwenye mfumo
Mtoto mdogo wewe, shida mnanuka dhiki mpaka mnakosa akili ya kuwaza mbali!!!Wazee laki tano kwa mwezi nyingi sana watu tunaishi na 150,000 mpaka 200,000 kwa mwezi
upate mwenye akili sasa na mchakarikaji!!!Kufanikiwa na akili ya mtu lakin pia kw utafit wangu mdogo wengi waliofanikiwa japo sio wote waliamua kuoa au kuolewa na wenza ambao sio walimu so kukawa na balance ya kupata muda wa kusimamia miradi waliyoanzisha
Ni huzuni hizi ajira za SANDAKALAWE!!!Duh 18M?
Diploma holder wa TCB anakopa 35M baada ya kuthibitishwa kwa mkopo wa Mortgage kisha anaweza kukopa 60M miezi kadhaa baada ya kukopa hiyo 35M.
Kwahiyo huyu wa 18M anapoandikiwa maximum amount kukopa ni 200M na hawa NMB maana yake ni nini hapo?
Usiwaseme sana mkuu 😃upate mwenye akili sasa na mchakarikaji!!!
Ila kwa mihemko ya hawa vijana wa hovyo wasioweza kubana kojo na kukojoa nje huwa wanafall kwenye unexoected marriages😬😬😬
Wakute sasa wanavyojifariji baada ya kutotolesha hovyo bila plans🙌🙌🙌
😃😃Inasikitisha It halmashauri laki 7 it wa taasis milion 2😂😂Ni huzuni hizi ajira za SANDAKALAWE!!!
NI kitanzi ambacho kinamaumivu balaaaaaaaaa, na mtu huanza kuona amepotea akianza kuangalia wenzake wa level sawa ya elimu waliopo kwenye MATAASISI.
📌📌📌HAKIKA NI HUZUNI!!!
KULA YA SHIDA BALAA,KUVAA SHIDAAA,NAULI SHIDAAAA,MICHANGO SHIDAAA,MAKAZI YAO NI HUZUNI.WENGI WAMEKOPA ILI KUJENGA, ILA NYUMBA HAZIJAISHA WANAISHI KWENYE MAPAGALA😩😩😩Mimi nawaambia hawanielewi, kuishi mnaishi lakini kwa mateso tu, hupati unachokitaka
😄😄😄😄 vijana hawa wa hovyo bila kuwasema hivi watakuja kutulaumu baadae kuwa hatukuwaambia.Usiwaseme sana mkuu 😃
Lkn ndio ukweli chagua mtu wa maana hata km elimu ndogo lkn anajua kupambana
📌Ni huzuni yenye UCHUNGU WA LABOUR!!!😃😃Inasikitisha It halmashauri laki 7 it wa taasis milion 2😂😂
Huna akili!!!Nilishawahi kukuomba nauli? Kama umekata tamaa ni wewe... pia mimi si mwalimu... lakini nawafahami waalimu wengi tu maisha yao mazuri