Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Alifanya hivyo kwa kuwa hakuwa na namna sababu Biden alishawazidi kete kwa kufanya endorsement ya Kamala punde tuu baada ya kujiengua,kama asingefanya hivyo wakina Obama wangemuweka mtu wao wamtakae wao.Kwamba Obama hakutaka mwanamke agombee wakati alikua analaumu wanaume wa weusi kutomuunga mkono kamala!!
Utabiri fakeTrump hatomaliza muhula wake,watamuua
Biden hawezi kosa lawama 👇👇Alifanya hivyo kwa kuwa hakuwa na namna sababu Biden alishawazidi kete kwa kufanya endorsement ya Kamala punde tuu baada ya kujiengua,kama asingefanya hivyo wakina Obama wangemuweka mtu wao wamtakae wao.
Biden ndio atabeba lawama na Obama wake.Siwezi kushangaa kabisa kama Biden na familia yake walimpigia kura Trump
Biden alienguliwa kikatili sana bila heshima, Nyuma ya pazia ni Obama alisuka kila kitu.
Kamala alichukua nafasi ya kukiwakilisha chama cha Democrats kienyeji sana, alipitishwa kwenye kikao cha mtandaoni (zoom) wakati Biden na wagombea urais wengine huwa wanaipata nafasi hio kwa kuchuana na wanachama wenzao kisha kura hupigiwa mshindi hukiwakilisha chama
View attachment 3147464
I know that bro; was trying to explain to that dude above; kwamba Democratic miaka yote wao hayo mambo wana ruhusu so is not something strange kwa Biden/Kamala kuyaweka kwenye vipaumbele vyao; again kuna kingine kinanitatiza miaka ya hivi karibuni. Kwa zaidi ya miaka 25 sasa; Democratic ndio wanaiachaga vizuri sana USA kiuchumi, mfano wa karibuni ni hu wa Bush Jr na Obama, Bush aliiacha USA kwenye hali mbaya sana kiuchumi, ilipelekea ma bank kadhaa kufirisika, kampuni kubwa la magari la GMC halikadhalika, Clinton na Obama wali iacha vizuri sana kiuchumi Marekani; what's happening now with Democratic?Alishinda popular vote na alipoteza florida kwa kura Mia kadhaa tu otherwise angekua Rais. Mambo ya ushoga au jinsia sio issue sana US ndio maana Obama aliunga mkono na alishinda same to Biden. Ila hayo yakitokea huku bado uchumi unasuasua lazima tu uanguke kwenye sanduku. Kiufupi uchumi ndio concern ya kwanza hayo mengine hayaamui uchaguzi
Hivi una wasiliana na Ismail haniya pamoja na yule aliyekuwa kiongozi Hezbollah?Robot hilo.
Lana ya kumuwa Gaddafi inamuandama.Ila obama daah angepumzika siasa. Kajishusha sana
Mhusika yuko wapi?Robot hilo.
tema mate chiniTrump hatomaliza muhula wake,watamuua
Mbona laana ya kumuua General Soleiman haimuandami Trump pia bila kusahau Bush Jr alipomuua Saddam?Lana ya kumuwa Gaddafi inamuandama.
We humuoni Bush anachanganyikiwa mpaa ana condemned walio ivamia Iraq badala ya Ukraine, hio sio lana. Trump we huoni kakoswa mara ngapi kuliwa.Mbona laana ya kumuua General Soleiman haimuandami Trump pia bila kusahau Bush Jr alipomuua Saddam?
Kiongozi unamvamia mwamba Biden kwa tetesi za jf ya bongo, KWELI?!!!!!Alimchagua Kamala mwenyewe lakini Kushindwa Kwa Kamala kumemfurahisha eti wakose wote,hovyo kabisa.
Anatakiwa kujua kwamba Kamala Bado umri unamruhusu na hata yeye alikuwa Rais Kwa mgongo wa Obama Sasa inakuaje anakuwa na nongwa? Kwa kupoteza kumbukumbu kwake angewezaje Kuongoza?
InshallahHivi una wasiliana na Ismail haniya pamoja na yule aliyekuwa kiongozi Hezbollah?
Ila aliyempendekeza Kamala kugombea hiyo nafasi ni huyu huyu Babu Joe....Siwezi kushangaa kabisa kama Biden na familia yake walimpigia kura Trump
Biden alienguliwa kikatili sana bila heshima, Nyuma ya pazia ni Obama alisuka kila kitu.
Kamala alichukua nafasi ya kukiwakilisha chama cha Democrats kienyeji sana, alipitishwa kwenye kikao cha mtandaoni (zoom) wakati Biden na wagombea urais wengine huwa wanaipata nafasi hio kwa kuchuana na wanachama wenzao kisha kura hupigiwa mshindi hukiwakilisha chama
View attachment 3147464
Hahaha Trump anawashinda wanawake tu, hana ubavu kushindana na Wanaume.
Hii ina make senseTeam Obama ndio walimlazimisha Biden ajiondoe,na pia team Obama hawakutaka Harris agombee Urais walikuwa na mtu wao mwanaume,Biden baada ya kujitangaza kujiengua fasta akafanya endorsement kwa Harris ili awavuruge team Obama na pia wakose wote. Hii ni kwa mujibu wa afisa wa zamani wa White House chini ya Biden.
Mswahili mswahili tu hata akiishi Ulaya na America utamjua tu sio Kwa rangi tu hata tabia piaIla obama daah angepumzika siasa. Kajishusha sana
Afadhari hata wa awake hu a wanajaribu kupambana na trump wanaume Huwa wanatetemeka na kukimbia wakimuona Trump mfano Biden nenda kamuulize Nini kilimfanya amkimbie trump.Hahaha Trump anawashinda wanawake tu, hana ubavu kushindana na Wanaume.