Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hiyo ndio ishapita,Trump lazima amalize muda wake kwa amani na usalama tele. Siku hizi systems ya Marelani ishajifunza kwa JFK kuwa kumuua Rais akiwa madarakani ni hatari bora kumuondoa mapema kama walivyofanya kwa mdogo wake JFK ndugu Robert/Bob Kennedy ambapo walimuua kwenye primary contest ya Democratic na alikuwa anaelekea kushinda kuwa mgombea Urais na alikuwa na asilimia kubwa ya kuwa Rais.Trump hatomaliza muhula wake,watamuua