Karne ya 21 Katibu Mkuu wa CWT alikuwa mwalimu wa Daraja la 3A?

CWT ni laana!!

Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?

Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Unaweza kuta ni grade 3A lakini ana degree watu wanajiendeleza wanakuwa na malengo yao, asingeweza kuteuliwa kuwa DC. Na ndugu yangu ana masters ni trafic amekataa kupeleka vyeti polisi anaogopa ataondolewa barabarani ni zaidi ya miaka 3 sasa hataki
 
Bila god faza hutoboi nchi ya hovyo sn hii
 
chuo gani kwa unavyofikilia kinawezatoa masters hujaelimika?? Hivi unafikiri masters ni kitu chepesiee??
Kama degree zinatoka, masters inashindikana nini?
Ninachomaanisha ni kwamba ukiwa umeelimika huwezi kuchezewa na mtu yeyote.
 
Kauli za wahenga " KILA MTAKA NASABA ..........." mtamalizia
 
Sahihi kabisa


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Uongozi ni kipaji kutoka kwa Mungu,Elimu ni nyongeza.
 
CWT ni laana!!

Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?

Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Huyu jamaa amesoma degree mlimani/UDSM na kamaliza 2011.

Alijiendeleza.
 
CWT ni laana!!

Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?

Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Rais Samia yeye ni Form Gani zaidi ya huyo Mwalimu unayemzodoa humu?
Je!
majukumu ya katibu mkuu wa CWT ni yapi?
Na yanahitaji kiwango gani cha elimu?
Hao ma-PHD's na Ma- DK's waliojazana Bungeni na Serikalini wana lipi la kujivunia kwa wananchi kiufanisi?

Uongozi ni "Karama" zaidi ya Elimu!
 
Hongera braza, humu jf hakuna wasomi, walio wengi ni fomfoo feilia ndo wamejazana humu.
 
Hao wasomi wakina chenge,kabudi,mdee,bulaya,mwigulu,nape,januar makamba wamelisaidia nini taifa? Bora babu yangu ambaye hakujua kusoma wala kuandika alikuwa mzalendo wa taifa lake hadi akatoa shamba lake kwa ajili wajenge shule na zahanati

Ondoa nape na marope hapo. Kama kwako unawaona ndo wasomi basi kuna tatizo.
 
Unaweza kuta ni grade 3A lakini ana degree watu wanajiendeleza wanakuwa na malengo yao, asingeweza kuteuliwa kuwa DC. Na ndugu yangu ana masters ni trafic amekataa kupeleka vyeti polisi anaogopa ataondolewa barabarani ni zaidi ya miaka 3 sasa hataki
Huyo jamaa kiwango chake cha elimu ni form four according to his document ok, acheni umbea nchi imeoza hii, viongozi elimu hawana na ndio maana hawaoni umuhimu wa katiba mpya.

Kila kitu kinachoguswa kimeoza, kila sector, kila idara, nk, kujuana na kupeana vyeo, inaumiza nchi, miktaba mibovu na ya ajabu inayoingia serikali yetu chanzo ni elimu tu.

Taifa ambalo halitaki elimu ni Taifa lililokufa!!!!
 
Uozo wa nchi hii siyo issue ni elimu kwenye ofisi za umma % kubwa wana masters lakini utendaji ni zero, tuwekeze kwenye ujuzi na uzalendo, elimu zetu ni za kukariri(makaratasi tupu) mtu ukitoa cheti anabaki kama alivyozaliwa kichwani hana ujuzi wowote na uzalendo ni zero.
 
Mkuu Mleta mada, inakuwaje unashangaa Mwl mwenye sifa asiwe kiongozi wa wenzake, wakati sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu!
 
95% ya members wa Congress pale US wana college degrees. 90% ya members wa House of Commons Uingereza wana college degrees.
Alafu kwetu tunaopokea misaada ya kujenga vyoo mtu anataka darasa la saba wawe wagombea. Haohao ndio wajadili mikataba ya madini, gesi, bandari na kupitisha sheria za uwekezaji na miradi.

Kila kitu kina standards. Mbona kwenye uchaguzi hawaruhusiwi watoto, wageni, wasiojua kusoma na kuandika na wanajeshi ili wananchi waamue wenyewe wanamchagua nani.
 

Tatizo sio kuonyesha ubora wa elimu, mfumo uliopo unataka uendane na matakwa na expectation za siasa.
Ukiwa too professional unaondolewa, so hata iwe msomi vipi inakulazimu kucheza na biti.

How can you be professionaly efficient wkt mfumo hautaki? Ina demand uwe politicaly efficient
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…