Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Unaweza kuta ni grade 3A lakini ana degree watu wanajiendeleza wanakuwa na malengo yao, asingeweza kuteuliwa kuwa DC. Na ndugu yangu ana masters ni trafic amekataa kupeleka vyeti polisi anaogopa ataondolewa barabarani ni zaidi ya miaka 3 sasa hatakiCWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Bila god faza hutoboi nchi ya hovyo sn hiiKupata vyeo Tanzania hii uwe fundi wa ushirikina ettii hao wenye Elimu kubwa wanaona Nini Cha kufia, mfano mzuri angalia Elimu za wawakilishi wetu kwenye kilinge Cha taifa hapo jangwani DODOMA.
Wasomi asilimia kubwa wanaishia kwenye vikaango vya wajumbe na ukikuta msomi kapenya ujue kajiongeza upande wa pili kwanza.
Kama degree zinatoka, masters inashindikana nini?chuo gani kwa unavyofikilia kinawezatoa masters hujaelimika?? Hivi unafikiri masters ni kitu chepesiee??
Chuma yake sasaCWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Sahihi kabisaMwalimu mwenye degree ni mwalimu daraja C
Atakuwa daraja 1C,2C, 3C nk kutegemea na muda wa utumishi wake
Mwalimu mwenye diploma ni mwalimu daraja B
Atakuwa daraja 1B,2B, 3B nk kutegemea na muda wa utumishi wake
Mwalimu mwenye cheti (grade A)ni mwalimu daraja A
Atakuwa daraja 1A,2A, 3A nk kutegemea na muda wa utumishi wake
NAomba kujua level ya elimu yako tafadhali,Kama degree zinatoka, masters inashindikana nini?
Ninachomaanisha ni kwamba ukiwa umeelimika huwezi kuchezewa na mtu yeyote.
Huyu jamaa amesoma degree mlimani/UDSM na kamaliza 2011.CWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Umejaa upepoalifanyiwa staha ya kufukuzwa kistaarabu CWT akakataa, ulitaka Mamlaka ifanyaje ?…imemheshimu sana na kama ingekuwa zama za JPM halafu akatae heshma aliyopewa na Rais …
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Rais Samia yeye ni Form Gani zaidi ya huyo Mwalimu unayemzodoa humu?CWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Hongera braza, humu jf hakuna wasomi, walio wengi ni fomfoo feilia ndo wamejazana humu.Mwalimu mwenye degree ni mwalimu daraja C
Atakuwa daraja 1C,2C, 3C nk kutegemea na muda wa utumishi wake
Mwalimu mwenye diploma ni mwalimu daraja B
Atakuwa daraja 1B,2B, 3B nk kutegemea na muda wa utumishi wake
Mwalimu mwenye cheti (grade A)ni mwalimu daraja A
Atakuwa daraja 1A,2A, 3A nk kutegemea na muda wa utumishi wake
Hao wasomi wakina chenge,kabudi,mdee,bulaya,mwigulu,nape,januar makamba wamelisaidia nini taifa? Bora babu yangu ambaye hakujua kusoma wala kuandika alikuwa mzalendo wa taifa lake hadi akatoa shamba lake kwa ajili wajenge shule na zahanati
Huyo jamaa kiwango chake cha elimu ni form four according to his document ok, acheni umbea nchi imeoza hii, viongozi elimu hawana na ndio maana hawaoni umuhimu wa katiba mpya.Unaweza kuta ni grade 3A lakini ana degree watu wanajiendeleza wanakuwa na malengo yao, asingeweza kuteuliwa kuwa DC. Na ndugu yangu ana masters ni trafic amekataa kupeleka vyeti polisi anaogopa ataondolewa barabarani ni zaidi ya miaka 3 sasa hataki
Uozo wa nchi hii siyo issue ni elimu kwenye ofisi za umma % kubwa wana masters lakini utendaji ni zero, tuwekeze kwenye ujuzi na uzalendo, elimu zetu ni za kukariri(makaratasi tupu) mtu ukitoa cheti anabaki kama alivyozaliwa kichwani hana ujuzi wowote na uzalendo ni zero.Huyo jamaa kiwango chake cha elimu ni form four according to his document ok, acheni umbea nchi imeoza hii, viongozi elimu hawana na ndio maana hawaoni umuhimu wa katiba mpya.
Kila kitu kinachoguswa kimeoza, kila sector, kila idara, nk, kujuana na kupeana vyeo, inaumiza nchi, miktaba mibovu na ya ajabu inayoingia serikali yetu chanzo ni elimu tu.
Taifa ambalo halitaki elimu ni Taifa lililokufa!!!!
Kwahiyo makamba hajasoma?Ondoa nape na marope hapo. Kama kwako unawaona ndo wasomi basi kuna tatizo.
95% ya members wa Congress pale US wana college degrees. 90% ya members wa House of Commons Uingereza wana college degrees.Wasomi wetu Tanzania wanagombea na kina Kishimba na Msukuma wanabwaga kwny masanduku ya kura wanakuja kulia lia wanataka Katiba mpya iwazuie la Saba kugombea, kwanini Wazuiwe wakati uchaguzi ni wa wote kama hao Wananchi hawawataki wasomi kwanini muwalazimishe ?
Wasomi badala ya kujiuliza kwanini hawauziki kwa Wapiga kura wanataka wapate mteremko kwa kuweka vizingiti kwa wale wa lasaba wazuiwe kugombea.
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Uongozi ni Zaidi ya Elimu, wakati tunapata uhuru , tuliongozwa na viongozi wengi wenye elimu za kawaida kabisa, na kwa kiasi tulienda vizuri.
Hii Imani ya kuamini ili mtu awe kiongozi mzuri, ni lazima awe na cheti kikibwa, imetuletea majanga makubwa katika nchi yetu na Africa kwa ujumla.
Watu wanapambana huko vyuoni kwa kila njia, nzuri na mbaya kuhakikisha anapata cheti ili kimsadie kuiaminisha jamii, kuwa ni msomi na anafaa kuongoza watu.
Tumeona Maprofesa na PhD wengi wakipewa nafasi za uongozi na kishindwa kuonnyesha ubora wa vyeti vyao.