DOKEZO Kashfa kubwa kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani. Kanisa latumika kuwauzia mashamba hewa waumini wake. Ekari feki 15,000 ziliuzwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Idara ya usalama wa kazi zake ni zipi? Tz ni taasisi gani unahusika na uchunguzi wa wizi mkubwa na kutakatisha fedha?
 
Hataree
 
Unaongea hisia zako na mahaba kwq kanisa la wapigaji
Wewe unaonekana una CHUKI KUBWA na KKKT

KKKT kwa ninavyowajua hawawezi kufanya uzembe kama huo, labda waliouziwa kuna terms hawakuzifuata vizuri
 
Duuh yalikuwa fake yale mashamba na watu wameyanunua bwana

Washarika wa Ubungo tujuane kwa Mch Oscar Mlyuka
Mpendwaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo ya Fukayose nawe yalikupata?
 
Kwa sasa madhehebu/makanisa yasiyofanya biashara ni machache sana sema hii ya viwanja bado haijawa maarufu.

BTW:Labda nia ilikuwa nzuri ila wao wenyewe wakaingizwa mjini na akina Juma Kasangu.

 
Mpendwaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo ya Fukayose nawe yalikupata?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hayajanipata auntie sasa sijui ki kweli au vipi woiii roho ilikuwa inasita sanaaa kila nikitaka kuingia inakubali na inakataa
 
Apo inaonekana ata kanisa walikua hawajui,huo ukanda eneo la ranch ya taifa ni kubwa,wangemleta surveyor wa serikali kwanza ,kuwajulisha Kama eneo lote ni salama ,au ranch imepitia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…