Kashfa kubwa Wizara ya Ardhi: Bilioni 375 zatumika kugharamia semina na uratibu

Enzi za utawala wa jiwe habari kama hizi zilikua zinaminywa .
Tukizikisikia tunafaidika na nini? Watanzania tunajifariji sana, sijujua kwanini, yaani kutajwa ufisadi na hamna hatua zozote zitakazochukuliwa kwetu raha,tuna enjoy..

Wakati mbuzi wa Bwana Kheri shamba la Bwana Kheri yote Kheri.

Kumbuka Rizmoko, mtoto pendwa wa Msoga yupo ndani ya nyumba..
 
Hii awamu ya 6=Awamu ya 4.
Wao ni kula, kula, kula mpaka wavimbiwe. Awamu hii Ina failure leaders kuliko awamu zote kuwahi kutokea Tanzania.Ongezeni kusifu na kuabudu.
Hii itakuwa 6+4=10

Ila alishasema wale kwa urefu wa kamba
 
Kuna wapendwa na wateule, wapendwa ni Nape, Riz1,Mwezi wa Kwanza hawa msitegeemee kama wataguswa ila wateule ndio wataendelea kubadilishwa kila siku.
 
Maboma yaliyoandikwa STOP siyaoni tena hapa mtaani.

Pengine kila mtu kwa sasa anafuata utaratibu wa vibali vya ujenzi.
 
WAZIRI YUPO NAIBU WAZIRI YUPO KATIBU MKUU YUPO ni mwendo wa KULA kwa UREFU wa KAMBA ZAO
 
MATUMIZI YA HOVYO KABISA MH.RAIS FUKUZA WAZIRI NA NAIBU WAKE NA KATIBU MKUU
 
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII imebaini matumizi mabaya ya fedha kiasi cha Bilioni 375 zilizopangwa kutumika kupima...
Wako bize kupaka masizi makaburi. Wakija kuamka mchwa wameshatengeneza bonge la chuguu
 
Nimeipenda Hiyo Mbuzi wa bwana Kheri shamba la bwana Kheri yote kheri tu !! Nakumbuka Marehemu Kenyatta aliwaambiaga watu wake Nyati nimeishika mapembe kamueni maziwa mkishindwa shauri yenu !
 
Nimeipenda Hiyo Mbuzi wa bwana Kheri shamba la bwana Kheri yote kheri tu !! Nakumbuka Marehemu Kenyatta aliwaambiaga watu wake Nyati nimeishika mapembe kamueni maziwa mkishindwa shauri yenu !
Hahah

Mzee Kenyatta alikuwa na misemo sana😂
 
Tunatarajia Ofisi za mikoa za wizara ziwe na ubora kama zilivyo mahakama kuu vituo jumuishi, hata kama jengo si kubwa, lakini ubora wa vituo jumuishi vya mahakama ni kiboko.

Naunga mkono, wizara hii ikifanyiwa uwekezaji, Kodi ya ardhi ni matrilioni kwa mwaka.
 
Hela imekopwa, haijaanza hata kufanya mradi, inaliwaje, huu ni uongo, Hela ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…