Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Hayo ndio madhara ya KUCHELEWESHA kupatikana kwa katiba mpya, ni lazima tukubali hii iliyopo inabariki mazingira ya UPIGAJISometimes hii Nchi Ina viongozi wapumbavu sana,mambo ya hovyo kama haya nayo yatapita kimya kimya..
Mara kadhaa tumeshauri serikali iunde wakala huru ya kupima Ardhi na land administration kiujumla ila inaacha upotevu mkubwa wa pesa Kwa mambo ya beucracy.