Kashfa kubwa Wizara ya Ardhi: Bilioni 375 zatumika kugharamia semina na uratibu


Kuwa na heshima na mamlaka.
 
Huyo Mabula inasemekana kuwa yeye ndiyo mmiliki wa ghorofa inayojengwa maeneo ya Nyasaka,Maduka Centre jimboni kwake Ilemela.Huo ukwasi anautoa wapi?
 
Mambo kama haya ndio yanatakiwa mh.Rais kuchukua hatua,Kila siku nasema Mabula ni sukuma gang ambae anacchukua chake mapema Kwa sababu huenda asirudi bungeni next time..

Fukuza Waziri na Katibu Mkuu then wakalipe hizi pesa
Na yule Mtoto wa Born town mbona humsemi?kwa vyovyote vile yule Mwana mfalme lazima yeye ndiyo anatucgezea aya Mabreka.
 
Unapompa Ridhwan uongozi usilalamike ukiibiwa.

Kama alishawai muuibia baba yake wakati ule akiw waziri wa mambo ya nchi, unategemea nini kwenye mali ya umma..........atazipiga tu.

"KAZI YA MIKONO YETU"
Wana mkabidhi fisi bucha alafu wanalalamika kwamba nyama imepungua!!
 
Pale dalali wa ARDHI anapopandishwa hadhi kuwa Waziri aitunze ARDHI [emoji15][emoji15][emoji15]

Tusubiri
Baba yake naye analazimisha wakuu wa mikoa wampe ardhi kuanzia hekari 500 eti za kujenga matawi ya UDSM,hekari zote hizo za nini?kama siyo kutengeneza mazingira ya kutupiga kwenye upimaji!
 
Si CCM wenzio, unalia Lia Nini Sasa?

Alafu miaka 60 ya uhuru Marais wanaume wangapi? Miaka yote hiyo ufisadi wa kutosha kwani walikuwepo wanawake??

CCM ni mafisadi awe mwanaume au mwanamke so msiweke lawama kwenye gender as if tukiwapa Urais hao wanaume Kuna kitu kitabadilika.
 
Ni kama Serikali na CCM wamejaa majizi watupu, wanatofautiana kwenye viwango. Maana si mawaziri, si wakuu wa mikoa, si wakuu wa wilaya, si polisi, si majaji, kila mmoja ni mwizi.
 
Wizi mtupu, kiwanja/nyumba moja kodi kibao, TRA, HALMASHAURI, MKOANI kote huko unalipa kodi kwa kitu kilekile.
 
Huyo Mabula inasemekana kuwa yeye ndiyo mmiliki wa ghorofa inayojengwa maeneo ya Nyasaka,Maduka Centre jimboni kwake Ilemela.Huo ukwasi anautoa wapi?
Ni mkopo tunaolipa sisi.
 
Heri wanaokula kuliko wanaotupa
 
Nchi inahitaji KATIBA MPYA ili iweze kutoka kwenye mkwamo huu, shughuli za maendeleo zinachukua miaka mingi kukamilika kwasababu ya BAJETI ZA HOVYO zinazolenga kunufaisha viongozi na familia zao


 
Inasikitisha sana, hakuna Rais pale
 
Oh rizone ,ongea na mshua ohooo rizone!!

Unategemea nini sasa wakati makontawa ndiyo wapo kwenye hiyo wizara ohoo rizone ongea na mshua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…