Kashfa kubwa Wizara ya Ardhi: Bilioni 375 zatumika kugharamia semina na uratibu

Hayo ndio madhara ya KUCHELEWESHA kupatikana kwa katiba mpya, ni lazima tukubali hii iliyopo inabariki mazingira ya UPIGAJI
 

Man,

You not free to talk to this extent,

Can you behave the Madame Head,

Remember they are watching you.
 
Hapo kijana Ridhiwani kashatia jino... ule ukoo pamoja na kula sana hawajashiba na kutisheka. Jamii nyingi za kiswahili huwa na tabia za ukupe na uroho uliopindukia kwakua kazi kwao si kipimo cha utu.
Na wewe nenda kale
 
Mambo kama haya ndio yanatakiwa mh.Rais kuchukua hatua,Kila siku nasema Mabula ni sukuma gang ambae anacchukua chake mapema Kwa sababu huenda asirudi bungeni next time..

Fukuza Waziri na Katibu Mkuu then wakalipe hizi pesa
Tafuta pesa dogo. Kama ni rahisi na wewe nenda kachukue
 
Kuna maswahiba wengine walitumbuliwa kwa mambo kama haya.


Hakuna jipya, endeleeni na pongezi.
 
Hapo kijana Ridhiwani kashatia jino... ule ukoo pamoja na kula sana hawajashiba na kutisheka. Jamii nyingi za kiswahili huwa na tabia za ukupe na uroho uliopindukia kwakua kazi kwao si kipimo cha utu.
uongo utakuua
 
Nimejikutwa natokwa na machozi tu,hii nchi yetu jamani,kila mtu aiombee kwa imani yake,siku moja tutafika tu ila tukiwa tumetepeta sana.
 

Hawa wanaiba lakini sio wababe.

Ila hii nchi inachezewa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…