Kassim Majaliwa: Tuache tabia ya kuwatengenezea viongozi migogoro, unaweza kupambana sana ukitaka ukae ukakuta anakaa mwingine

siasa chafuchafu, siasa za propaganda, siasa za kijingajinga, siasa takataka... NCHI HAIWEZI KUENDELEA KWA KUENDELEA KUACHA PUMBAVU ZILIPIGA PIGA KELELE NA SIASA ZA HOVYOHOVYO.....
 
Ndugai ana makando kando mingi ata Waziri mkuu asiseme chochote Watanzania hawatamfikiria kuwa rais wao
 
Look at this motherfvcker

Wewe ndio unajua uongozi wa nchi kwa chochote?

Samia alikua choka mbaya huko Zanzibar..Majaliwa alikua mwalimu wa primary choka mbaya....hao wote unaona wanajua nchi zaidi ya Mbowe?

Useless motherfvcker!
You imbicile twat this country will never be ruled by dogs from CHADEMA
 

Huwa wanamtaja Mungu ili kuhadaa umma kuwa ni wacha Mungu, lakini ukiwafuatikllia ni mashetani wa dhahiri.
 
Nimelewa kwamba Kuna watu waliua Kiongozi wakidhania nafasi yake wataziba wao badalla yake mtu mwingine kaikalia. Hivyo anaasa wanaotaka Tena kudhulumu maisha ya viongozi wasifanye hivyo kwani Mungu ndiye mpaji.
 
Kuna mtu anamuamini huyu Mzee Sukununu wa gazeti la Sani?
 
Wahuni tu Hawa huyu alifanya uhuni kwenye uchaguzi wa 2020
 
Huu ni ujumbe kwa wale wanaomchonganisha mama na PM na viongozi wengine kama JYN, speaker.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Look at this motherfvcker

Wewe ndio unajua uongozi wa nchi kwa chochote?

Samia alikua choka mbaya huko Zanzibar..Majaliwa alikua mwalimu wa primary choka mbaya....hao wote unaona wanajua nchi zaidi ya Mbowe?

Useless motherfvcker!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…