Kata moja ya Tambani Mbagala Mbande wafadhili wamejenga misikiti 36 na bado wanajenga mingine, ila hawajajenga kiwanda hata kimoja

Kata moja ya Tambani Mbagala Mbande wafadhili wamejenga misikiti 36 na bado wanajenga mingine, ila hawajajenga kiwanda hata kimoja

Mtoa mada ana hoja ila kakurupuka sana
Anadhani hela iliojenga misikiti 36 tuseme 50 inaweza ikajenga kiwanda kimoja
Yaani kujenga kiwanda sio jambo rahisi
Pia huko tambani kuna taabu ya maji sana tu ila bado anabeza ujengwaji wa visima
Pia mfadhili anafadhili eidha kinachomfaa ama anachoona anakiweza
Ilitakiwa kwanza aihoji sirikali yake kabla ya kuwahoji wafadhili
Msikitini yenyewe mingi ipo local na watu wanajitolewa hawa wanakuja na vitandishi ,wengine wanalipia umeme.


Kama partners miongoni mwa wasomi hamna katika kuanzisha biashara hata ndugu hawawezi kukaa chini kuanzisha viwand haswa ngozi nyeusi...Tabu tu ndoto ya viwanda aliimaliza Nyerere akaja nayo Magufuli ila tupo wapi?
 
Msikitini yenyewe mingi ipo local na watu wanajitolewa hawa wanakuja na vitandishi ,wengine wanalipia umeme.


Kama partners miongoni mwa wasomi hamna katika kuanzisha biashara hata ndugu hawawezi kukaa chini kuanzisha viwand haswa ngozi nyeusi...Tabu tu ndoto ya viwanda aliimaliza Nyerere akaja nayo Magufuli ila tupo wapi?
Hatuna popote tulipofika kwa kweli tunakuja kulaumu wafadhili

Wafadhili ni sehemu ndogo sana ya kufanya jambo kazi ni kwetu sisi wenyewe kama taifa
 
Usiwapangie watu na pesa zao, ipi bora misikiti ya Mwenyezi Mungu au kiwanda?

Aisee kuna watu mnachuki sana na uislamu, pole sana.

Na utambue jiji la Darussalaam ni jiji la Waislamu, so kama unaishi dar hama!

Ni kweli waislam Dar ni yenu. Ila mnauza ardhi yenu kwa wakuja ambao sio waislam

Wachaga na wakinga wanaimaliza kariakoo kijiji cha waislam
 
Ni mingi mno hiyo misikiti 36 kwa Kata moja.
Serikali ya China wameona mbali, wao wanapunguza idadi ya misikiti..
Wanajenga temple zao ...Mbona husikii wanapunguza idadi ya temples...Acha kudanganywa kila kona sehemu za ibada zipo kama unaruhus starehe ushindwe ibada...ule msikiti uliovunjwa basi pamajengwa hekalu watu wanaabudu .
 
Kama ni kweli, kuna tatizo mahali; kuna kitu kinatengenezwa kwa huko mbeleni.
Nashauri mamlaka husika wasitishe vibali vya ujenzi.
 
Kwanza kabla ya kuongea na wafadhili ilitakiwa uongee na sirikali kwanza
Hayo maji huko tambani yapo yakutosha mpaka ufadhili wa visima usiwe na tija
Pia hio miskiti kwa pamoja inafikia bei ama gharama ya kiwanda kimoja yaani kimoja tu?
Pia watu wanaojitolea ama wafadhili wameamua kutoa wanachoona wanakiweza ama kina faida kwao iwe mskiti ama kanisa
Mwisho wakazi watambani sio waislam watupu
ume andika PUMBA shekheee
 
Ni mingi mno hiyo misikiti 36 kwa Kata moja.
Serikali ya China wameona mbali, wao wanapunguza idadi ya misikiti..
China sio misikiti tu china hata makanisa wanayafyeka kama hujui ndio ujue
Uliza mbona sehem zakuabudia mabudha hawazivunji?
 
Kama ni kweli, kuna tatizo mahali; kuna kitu kinatengenezwa kwa huko mbeleni.
Nashauri mamlaka husika wasitishe vibali vya ujenzi vya hiyo misikiti.
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
acha kwanza wamtafute Mungu 🐒
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
mkuu kuna sehemu ulishaona wananchi wamejengewa kiwanda.
tumia akili yako kufikiria vizuri mkuu wangu
Yaani waumini wajengewe kiwanda na waumini wenzao
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Mwenye hela kaamua kutoa sadaka ya msikiti na visima vya maji, serikali yako ndiyo Ina kazi ya kujenga shule,na Sasa mpaka sekondari ni Bure,mtoto anayefeli na asisome basi kataka yeye,wewe kawajengee viwanda
 
Hakuna sehemu waaarabu wanaibiwa na waswahili matapeli waislamu kama kwenye ujenzi wa misikiti

Mwarabu tajiri yeyote ukisema unaomba Hela ya ujenzi wa msikiti au madrasa anakuona wewe ndie mwislamu Bora mno anatoa Pesa chapchap

Waswahili wanswapiga kwenye kuanzia gharama za ununuzi wa kiwanja Hadi ujenzi.Msikiti utajengwa ila hizo gharama zake utakaa Chini.Na Kwa kuwa waarabu Wana Pesa nyingi wanachojali madrasa au msikiti umejengwa basi
hawa hawaishii hapa kwa mlango wa nyuma wananunua maeneo yetu kupitia hao waliowajengea miskiti.
kiufupi hakuna cha bure bali tunatoa zaidi na wakati mwingine mpaka utu wetu!
 
Kama ni kweli, kuna tatizo mahali; kuna kitu kinatengenezwa kwa huko mbeleni.
Nashauri mamlaka husika wasitishe vibali vya ujenzi vya hiyo misikiti.
Unafikri waliotoa vibali mazumbukuku kwamba hawawez kufikiri au kuchanganua mpka kufikia uamuzi wakutoa vibali?
 
Back
Top Bottom