Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Kabisa Mkuu.Mkuu mgeni.
Mimi nimemwbia hivi aendele kuomba kapata Mke ambaye hafahamu, Nina muhakikishia hawezi kuchukua raundi akikutana na wanasheria wanaojua hasa wale wamama wanaoshusha miwani kwenye pua...
Wewe Mkuu kwanza jua kutofautisha mambo.Nimesema miezi sita kama mfank sababu ndivo inavojulikana mtaanj.
Hii debate tukiendelea haina mwisho...
Huenda amejaribu ku justify stori yake kwa namna hii.Wewe Mkuu kwanza jua kutofautisha mambo.
Ishu ya Vicky yeye ni kimada sababu mhusika alikuwa na ndoa ya mke mmoja ambazo nyingi ni za kikristu. Sasa jua kutofautisha hayo mazingira na mazingira ya wewe kuishi na mwanamke ...
Sure.Huenda amejaribu ku justify stori yake kwa namna hii.
Nimeamua tukubaliane kutokukubaliana.
ILA kama ana uhakika na anachongea ni suala la muda ngoja mwanamke aendelee kukusanya ushahidi.
Hii haijasomeka bado chief wataka kusemaje tuoe ama tusogeze tu 🤣🤣Uanaume ni mateso, yaani mababu zetu ndo walifurahia uanaume ila siku hizi ni mateso mara mia.
Nina jamaa yangu aliyumba kdg kiuchumi baada ya kuachishwa kazi miaka minne imepita, jamaa alikuwa ana hela kinoma, mke aliomuoa kwa ndoa ya mapepe mengi...
🤣🤣🤣🤣🤣Nivutie wapiSogeza kimya kimya bwashee
Karibu chamani mkuu..naomba mwenyekiti dondrake utoe kadi ya uanachamaMwanamke huyo kama kweli alifanya hivyo basi na mimi naunga mkono kampeni ya Kataa ndoa.
Utapeli ni mwingi sana
Kwani jamaa hamjui mwenyekiti wetu HAKIMI?Uanaume ni mateso, yaani mababu zetu ndo walifurahia uanaume ila siku hizi ni mateso mara mia.
Nina jamaa yangu aliyumba kdg kiuchumi baada ya kuachishwa kazi miaka minne imepita, jamaa alikuwa ana hela kinoma, mke aliomuoa kwa ndoa ya mapepe...
🤣🤣🤣🤣Mimi cjapata badoKaribu chamani mkuu..naomba mwenyekiti dondrake utoe kadi ya uanachama
Naona mwenyekiti yupo bussy ku enroll member wapya..utafikiwa tu🤣🤣🤣🤣Mimi cjapata bado
🤣🤣🤣🤣Kwaiyo ushampata kadi ya chamaNaona mwenyekiti yupo bussy ku enroll member wapya..utafikiwa tu
Aah Mimi Nina ya kudumu....nyie mnaoanza nawachukulia kama form one flan iv🤣🤣🤣🤣Kwaiyo ushampata kadi ya chama
Aisee.Uanaume ni mateso, yaani mababu zetu ndo walifurahia uanaume ila siku hizi ni mateso mara mia.
Nina jamaa yangu aliyumba kdg kiuchumi baada ya kuachishwa kazi miaka minne imepita, jamaa alikuwa ana hela kinoma, mke aliomuoa kwa ndoa ya mapepe mengi akamwomba amfungulie biashara huku yeye anatafuta kazi. Jamaa akauza nyumba moja akampa huyo mwanamke mtaji, mwanamke akaanza kwenda china kununua mizigo na kuuza hapa DSM na mikoani.
Biashara baada ya kuiva, mwanamke akaanza kutembea na vijana wake wa kazini hapo. Jamaa alipojua mwanamke akawa mkali, biashara kila kitu kimeandikwa kwa mwanamke. Mwanamke mwishowe akaondoka jumla nyumbani akaenda kupanga kivyake bila kuachana rasmi. Huko inasemekana akawa anakaa kinyumba na dogo mmoja wa kazini kwake. Kizuri hawakua na mtoto bado.
Biashara ikafeli, inasemekana alidhurumiwa na huyo dogo alokua naye, mwanamke akaanza kutanga tanga tu.
Jamaa si kajitafuta kajipata leo hii anapokea barua eti mke kamfungulia kesi kwamba waliachana ila jamaa hakumpa talaka na gawio lake la mali uthibitisho wa ndoa anao sababu walifunga ndoa ya kanisani.
Msioe msioe msioe. Kwani nini kigumu kukaa na mwanamke ndani bila kumuoa? Kama utalazimika kuoa mpe mwanamke prenup asije kugusa mali zako.
Bado tabu ingekuwa pale pale.Kwa nini asingemtimua mazima na rasmi Kwa talaka Kipindi ameamua mwenyewe kusepa?
Muwage na akili.
Kivipi?Kuoana tu bila kufunga ndoa hamuwezi?
Ndio maana wazungu wapo radhi mali zao kuwarithisha hata paka au mbwa lakini sio wake zao.Hzo Mali utazikwa nazo acheni upumbavu wa mawazo ya kiafrica eti hbr ya kugawana Mali ,Mali gani kinyumba kiwanja ndio Mali Sasa
Unakuta mtu eti anasema Ana Mali wakt Hana hata kiwanda Cha kufetulia tofali hata heka tano la shamba Hana alfu anajita ana mali
Kwa hyo uantaka kuishi pekea ako I'll usigawnae Mali na mwanamke SAS ukifa nakumbiaa wanakuja watu wa baki Kbsa kutawla hzo vimalizako na huna la kufanya
Kibkubwa muombe sna mungu akupe mwisho mwema urudi kwake salmaa bila kuacha migogodo duniani
Nina babu yangu alikua tra hajawi kuoa wala kuwa na mke na watoto. Leo hii kisukari kimempata hata kuona haoni maskini na ni mtu mwenye Mali nyingi ikiwemo magorofa Sasa hzo Mali ziasadia n.anatafuta watu wakushinda nao hkn
Kwa hiyo upendo ni mwanaume kutoa pesa na kumpa mwanamke?Na ndio hapa linapokuja Kwanini prenuptial ina matatizo mengi.
Yaani tayari ulishamwambia kwamba kila mtu na mali zake. Hiyo ndoa haimalizi miaka 3 ina survive.
Sababu mamlaka kama mwanaume inakupunguzia huwezi kumpgia simu umwambia wahi kupika wakati kila mtu anapambana kutafuta maisha yake.
Mtatafuta mfanyakazi mtamlipa atafanya kazi zote, inshort UPENDO hakuna hapo.