Kataa Ndoa vs Kubali Ndoa

Yah ckuping mkuu, je unahc mafnzo ynaplkea ndoa zidumu ??

i.e darasan kwa 0 level tunasoma miaka 4, still bado zero n nyng, kuptia hayo mafunzo tusingefeli kwenye ndoa pia?
 
Pole sana mkuu kwa maana misukosuko ndo hal halisi ya maisha ya mwanadamu, yaliyokukuta ni ngumu kushare nasi tukajifunza??
 
Kwasababu wanawake wote ni sawa.
Wanawake wote wapo sawa
Kivyovyote
Yaani kivyote

Lkn

Wanaume tunatofautiana
Wanaume hatuposawa
Hatutakuja kuwa sawa na hatuwez kuwa sawa.

Tuanzie hapa kwanz kabla sijakupa
Sabab za mimi kukataa ndoa.
Well mkuu, huo mfanano wao upo kwenye mihemko au??
 
Kuna ruby tupu humu mkuu, na hili enzi za ujana niliwah kuli-xperience.
 
Kwahyo mpka uone kwanza mkuu, ndipo uelekee??
 
ehee, kwa mfano hapo najibuje ?
Ni kama kumuuzia bandari MWARABU tu, utamjibu:wewe unaonaje??

Jibu atakalokupa unatambaa na BEAT, mkubwa wewe sio kila kitu mpaka upewe SUMMARY[emoji23][emoji23][emoji23]
 
nambie tu mkuu nisije nikaenda kuharibu mambo
M/ke hatumii logic Bali hisia zinatoka ktk gut.
Ukiulizwa Unanipenda maana yake,je likitokea kama mimba ,utaweza kulea mtoto?
So jibu lako lijenge assurance Kwamba wewe ni baba material yaani protector na provider.
Jibu,mwambie una mpango wa kugombea uraisi 2030 ,vipi hatopenda kuwa first lady au jibu linalofanana na hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…