Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
52R1/2B4...
Kataa ndoa wanasema kama mwanamke Tajiri oa...
Wao hawataki mwanamke masikini tu...
Fresh nimekuelewa, ila Mzee unakata tamaa baada ya trial moja🤣 endelea kujaribu kwan unapungukiwa nn ila usiwe kama ng'ombe sasa unaendaenda kama zombie, watu tumekataliwa zaidi ya mara tano na tumekuja kukubaliwa zaidi ya mara kumi.mimi nilishakula kiapo... Sitongozi tena mwanamke... Mimi nilitongoza kwa nia njema kabisa... Akasema "wewe ni kaka yangu, na tutaendelea kuwa kama kaka na dada" asee niliona aibu sijui ata ilitoka wapi... Lakin yule msichana anajiheshimu kwa kwel... Ila na mimi nimeapa sitanyanyua midomo yangu kutamka neno "fulani nakupenda" badala yake nikipenda nitajitahd kumfanya yeye ndio atamke... Kujipendekeza sio kuzuri kwakwel... amna kabisa aah...
hahahah mkuu nimeingia kwenye game kwa mara ya kwanza nakutana na kisiki... Unafkir ntaendelea... Ila nimecheka kwenye kukataliwa mara 5 afu ukakubaliwa mara 10[emoji23]kukubaliwa zaidi ya mara kumi.
Tatzo yeye alkuwa jogoo wa nyama, akakutana na koo wa mayai. Mambo yacwe meeeng hvyo. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Daaah kabaki na unyoya tu [emoji38]
Ni ukwel usiopngka kaka[emoji23][emoji23][emoji23]ndio tunajifunza hivi mdogo mdogo changanya na matani ya humu... kama akili zinazunguka vizur tunanukuu point
Hapo utazuka uzi mwingine wa KATAA TALAKA[emoji28][emoji28]kama ni after kuoa basi ukishagundua hupendwi nafkiri mr.TALAKA Anatake place
Cyclic theoy, itahusikaDo u Miss yourself[emoji848], I mean the PERSON you were before pain[emoji174] changed YOU [emoji1784]View attachment 2760868
Sent using Jamii Forums mobile app
na wanawake je?Wanaume wasio oa mapema wanaishia kuwa wapweke wakizi kukua na kuanza kutafuta vitoto vidogo.. wanajaza tamaa.. nduguzo hawatakutunza uzeeni
Broo true story, kabla ya kukubaliwa lazima ukataliwe ili sasa ukikubaliwa ujue utamu wake🤣hahahah mkuu nimeingia kwenye game kwa mara ya kwanza nakutana na kisiki... Unafkir ntaendelea... Ila nimecheka kwenye kukataliwa mara 5 afu ukakubaliwa mara 10[emoji23]
kibali gani ili tufanye mchakato wa mahali chapNdoa tamu nyie, yoyote anaeoa apata kibali mbele za bwana
Sasa kama maokoto yapo kwa nn ukatae ndoa??Kwahy sometime huwa ni suala la economic status ya mtu ndyo hupelekea maamu
🙂 maziwa yaliyochakachuliwa bado ni maziwaHiyo ni kwenye maziwa tu, lakini
Ni kweli, ingawa mwenye ng'ombe hanywi maziwa yaliyochakachuliwa.
Hii ni sawa anaekula kwa mama nitilie, na anaejipikia, kwa mama mtilie kuna nafuu, ila walaji wanapitia mengi, kuliko anaejipikia.
[emoji23] dah! Huwa nawa zoom tu wakipitaga na pisi kali zao Nasema "one day yes"Broo true story, kabla ya kukubaliwa lazima ukataliwe ili sasa ukikubaliwa ujue
yameongezwa na VITAMINS🙂 maziwa yaliyochakachuliwa bado ni maziwa
Sikupingi mkuu, ila huya tajiri nae hupenda kuvutwa na gari zima. Mtiti huwa ni hapo!Kama huwezi kuishi mwenyewe bila mwanamke hakikisha unaoa mwanamke tajiri kwasababu ndoa ni ajira kwa mwanamke masikini na asiye na akili ya maisha
Sijui umeshaelewa mleta mada