Katabia cha kuchungulia Simu ya Jirani yako wakati wa safari au kwenye mkusanyiko

Katabia cha kuchungulia Simu ya Jirani yako wakati wa safari au kwenye mkusanyiko

Mr Lukwaro

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
359
Reaction score
629
Wakuu imekuwa nongwa sasa ,Sometimes tabia hii inakera, Nipale ambapo umekaa either kwenye gari yaani safarini, au sehemu yoyote yenye mkusanyiko Public, Uko bize na simu yako, unashangaa jirani yako na yeye anakosoa mimacho kwenye simu yako

Hii tabia sio nzuri na inakera, Pia haileti picha nzuri, Sometimes have privacy ,haina haja ya kumuangalia jirani yako anapokuwa bize na simu yake.

Let me know kama umeshawahi kuwa muhanga wa jambo hilo👇✍️
 
Wakuu imekuwa nongwa sasa ,Sometimes tabia hii inakera, Nipale ambapo umekaa either kwenye gari yaani safarini, au sehemu yoyote yenye mkusanyiko Public, Uko bize na simu yako, unashangaa jirani yako na yeye anakosoa mimacho kwenye simu yako

Hii tabia sio nzuri na inakera, Pia haileti picha nzuri, Sometimes have privacy ,haina haja ya kumuangalia jirani yako anapokuwa bize na simu yake.

Let me know kama umeshawahi kuwa muhanga wa jambo hilo👇✍️
Picha iko wapi?
 
Back
Top Bottom