Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh, ukitaka nisikuchabo weka music na headphones zako sikiliza, au fungua vitabu soma. Ila ukianza sms, whatsapp, jf na fb niko na wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa Mr.Eeh, ukitaka nisikuchabo weka music na headphones zako sikiliza, au fungua vitabu soma. Ila ukianza sms, whatsapp, jf na fb niko na wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nafurahisha genge tu mkuu, sina hizo tabia.Sawa Mr.
Usijikoshe😂Nafurahisha genge tu mkuu, sina hizo tabia.
Unanigeuka mkuu?🤣🤣🤣Usijikoshe😂
Kwenda, kichwa kinaniuma.Unanigeuka mkuu?🤣🤣🤣
yaani uko kwenye mkusanyiko wa watu halafu una have privacy? Kweli?Wakuu imekuwa nongwa sasa ,Sometimes tabia hii inakera, Nipale ambapo umekaa either kwenye gari yaani safarini, au sehemu yoyote yenye mkusanyiko Public, Uko bize na simu yako, unashangaa jirani yako na yeye anakosoa mimacho kwenye simu yako
Hii tabia sio nzuri na inakera, Pia haileti picha nzuri, Sometimes have privacy ,haina haja ya kumuangalia jirani yako anapokuwa bize na simu yake.
Let me know kama umeshawahi kuwa muhanga wa jambo hilo👇✍️
Pole aisee...🤪Kwenda, kichwa kinaniuma.
Mkuu kwani unge sema tu midevu bila kumalizia yenye mvi kwani ungepungukiwa niniHuwa inakera... Unakuta jitu zima na mindevu yenye mvi linaangalia yasiyomuhusu...
Nikiona anachungulia huwa nazama file la Telegram naweka 'pilau'... Ale ashibe!!!
AsantePole aisee...🤪
Ivi kumbe wengne hawapo wanavyodai [emoji16] kwa sababu humu unaweza jiona fala kwa jinsi watu walivyotoboa ,ila Acha tu ibaki hivyo itupe hasira [emoji2955][emoji2955]Naanza kukuundia zengwe, nakufatilia ili watu wajue huna lolote zaidi ya kujibrand tu humu. [emoji1787][emoji119]
Mara nyingi huwa sio unavyofikiri umekaa either upande wa dirishani au upande wowowte sasa isiwe adhabu kwangu kuuangalia upande mmoja eti kisa utashuku naangalia simu yako, mara nyingi hutokea hivyo chunguza na mara nyingine mtu mzima unakuwa hovyo unacheck insta viclip vya kijinga sauti inacheka mwanzo mwisho wa safari inakera kweli sasa hiyo tena sio privacyWakuu imekuwa nongwa sasa ,Sometimes tabia hii inakera, Nipale ambapo umekaa either kwenye gari yaani safarini, au sehemu yoyote yenye mkusanyiko Public, Uko bize na simu yako, unashangaa jirani yako na yeye anakosoa mimacho kwenye simu yako
Hii tabia sio nzuri na inakera, Pia haileti picha nzuri, Sometimes have privacy ,haina haja ya kumuangalia jirani yako anapokuwa bize na simu yake.
Let me know kama umeshawahi kuwa muhanga wa jambo hilo👇✍️