Katabia cha kuchungulia Simu ya Jirani yako wakati wa safari au kwenye mkusanyiko

Katabia cha kuchungulia Simu ya Jirani yako wakati wa safari au kwenye mkusanyiko

Siku itokee tuko wote kwa daladala, kazi imeisha...halafu nazama pm kwa uhakika kabisa najua naongea na mtu wa namna gani.🤣🤣🤣🤣
Yaani ukizama PM itakuwa kazi bure maana haifanyi kazi😂😂😂
 
Hii dhana ya watu wa dini ni wema nimekuja kuiamini sio, kuna raia ni vijana/wazee wa hovyo kabisa mpaka unajiuliza huyu zinamtosha kweli?

Kivuli cha dini kisitumike kuficha "ungubaru wao".. Halafu sometimes unamkuta ni mtu mzima na heshima zake ila matendo sasa...
na ukitaka kuamini zaidi kutokuwa wema kwao, jaribu kufanya kama umetuma picha ya ngono kwenye group la kanisa halafu ufute fasta uone wazee wa kanisa watakavyokufuata privately uwatumie wakemee pepo la ngono toka kwa wahusika.

Ma guest mengi wadau wakuu ni wale tunaowaona masheikh na watu wa makanisa.
 
na ukitaka kuamini zaidi kutokuwa wema kwao, jaribu kufanya kama umetuma picha ya ngono kwenye group la kanisa halafu ufute fasta uone wazee wa kanisa watakavyokufuata privately uwatumie wakemee pepo la ngono toka kwa wahusika.

Ma guest mengi wadau wakuu ni wale tunaowaona masheikh na watu wa makanisa.
Kabisa
 
Back
Top Bottom