Mr Lukwaro
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 359
- 629
Picha iko wapi?Wakuu imekuwa nongwa sasa ,Sometimes tabia hii inakera, Nipale ambapo umekaa either kwenye gari yaani safarini, au sehemu yoyote yenye mkusanyiko Public, Uko bize na simu yako, unashangaa jirani yako na yeye anakosoa mimacho kwenye simu yako
Hii tabia sio nzuri na inakera, Pia haileti picha nzuri, Sometimes have privacy ,haina haja ya kumuangalia jirani yako anapokuwa bize na simu yake.
Let me know kama umeshawahi kuwa muhanga wa jambo hiloπβοΈ
πποΈNdio maana simu yangu nimeweka "Privacy screen protector"
Sometimes nikisanuka nikiona mtu ananidere naweka simu upande wa camera ya Selfie ajione lisura lake la chabo [emoji2955]
Upo kama mimi....wanakera kweli yaniπSometimes nikisanuka nikiona mtu ananidere naweka simu upande wa camera ya Selfie ajione lisura lake la chabo [emoji2955]
Tena ukimshtukia anajifanya anazuga kama alikuwa haangalii..Yaani daahUpo kama mimi....wanakera kweli yani[emoji18]
Me hua naweka selfie na kupiga kabisa wajiskie aibuπTena ukimshtukia anajifanya anazuga kama alikuwa haangalii..Yaani daah
[emoji23][emoji23][emoji23] safi sana...Watanzania wanapenda sana udaku na kuangalia siri/faragha za watu sijui kwa niniMe hua naweka selfie na kupiga kabisa wajiskie aibu[emoji2]
Sometimes mtu uko unachat issue very sensitive unakuja kugeuka limtu lipo busy kuangalia[emoji23][emoji23][emoji23] safi sana...Watanzania wanapenda sana udaku na kuangalia siri/faragha za watu sijui kwa nini
ππNikiona anachungulia huwa nazama file la Telegram naweka 'pilau'... Ale ashibe!!!
Aisee πππNapiga chabo vizuri tu, nikipanda mwendokasi tena nikiona kabisa upo jf nakupiga chabo la kufa mtu...[emoji1787]
Nikikuona kwa mwendokasi nakuchabo tu vizuri, nijue ID yakoπ€£π€£.Aisee πππ
Halafu ukishaijua itakusaidia nini πππ€Nikikuona kwa mwendokasi nakuchabo tu vizuri, nijue ID yakoπ€£π€£.
Naanza kukuundia zengwe, nakufatilia ili watu wajue huna lolote zaidi ya kujibrand tu humu. π€£πHalafu ukishaijua itakusaidia nini πππ€
Hahahahaππππ,, hata hivyo hutalipwa chochote mwisho wa sikuNaanza kukuundia zengwe, nakufatilia ili watu wajue huna lolote zaidi ya kujibrand tu humu. π€£π