Katabia cha kuchungulia Simu ya Jirani yako wakati wa safari au kwenye mkusanyiko

Siku itokee tuko wote kwa daladala, kazi imeisha...halafu nazama pm kwa uhakika kabisa najua naongea na mtu wa namna gani.๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Yaani ukizama PM itakuwa kazi bure maana haifanyi kazi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
na ukitaka kuamini zaidi kutokuwa wema kwao, jaribu kufanya kama umetuma picha ya ngono kwenye group la kanisa halafu ufute fasta uone wazee wa kanisa watakavyokufuata privately uwatumie wakemee pepo la ngono toka kwa wahusika.

Ma guest mengi wadau wakuu ni wale tunaowaona masheikh na watu wa makanisa.
 
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ